Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,769
- 2,544
mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salaam ya aina hiyo inatumika zaidi Sudan,nafikiri na nchi zingine za Kiarabu kama sijakosea.mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
Karibu maana unakaribishwa na mabwana kwanza na mabibi watakukaribisha baadaye. Hapa ni JF nyumbani kwa wenye fikra kubwa.mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!