Naitwa Saidi Ramadhani Ally maarufu kama Side Makini Entertainer

Wew ndo yule side mnyamwezi!?
Hapana side mnyamwezi alikuwa ni msanii alishafarikigi Mimi ni Side Makini Entertainer.

Muimbaji wa ‘Hujafa Hujaumbika’ na ‘Usidharau Usiyemjua’ Side Boy afariki dunia​

Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva Said Salim aliyekuwa akitumia jina la kisanii la Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia.
1454892_625188920874661_1822191609_n

Side Boy amefariki leo katika hospitali ya Nyangao iliyopo mkoani Lindi. Aliwahi kutoa nyimbo kadhaa zikiwemo ‘Hujafa Hujaumbika’, ‘Usidharau Usiyemjua’ na ‘Kua Uyaone.’
1794559_657772844282935_732435206_n
 
Hapana side mnyamwezi alikuwa ni msanii alishafarikigi Mimi ni Side Makini Entertainer.

Muimbaji wa ‘Hujafa Hujaumbika’ na ‘Usidharau Usiyemjua’ Side Boy afariki dunia​

Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva Said Salim aliyekuwa akitumia jina la kisanii la Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia.
1454892_625188920874661_1822191609_n

Side Boy amefariki leo katika hospitali ya Nyangao iliyopo mkoani Lindi. Aliwahi kutoa nyimbo kadhaa zikiwemo ‘Hujafa Hujaumbika’, ‘Usidharau Usiyemjua’ na ‘Kua Uyaone.’
1794559_657772844282935_732435206_n
Dah umenitoa machoz mkuu ,karibu if Mungu akufanikishe sana
 
Back
Top Bottom