GODFREY J POLITICIAN
Member
- Sep 3, 2017
- 25
- 7
naitwa GODFREY JOSEPH elimu yangu ni kidato cha nne natafuta nafasi yoyote ya kazi nipo Mwanza kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa:
0765301402
0765301402
naitwa GODFREY JOSEPH elimu yangu ni kidato cha nne natafuta nafasi yoyote ya kazi nipo Mwanza kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa:
0765301402
Pita tu mitaani ukisikia kuna msiba mahala chukua ngoma upite mitaa hiyo utangaze nadhani msosi ni free
vigezo vyote ninavyo ila naona kama hizi nafasi zinafigisu figisu sana leo nilikuwa nimeenda kwa mkuu wa wilaya amegoma kutoa birth certificate eti mpaka hizi proces za usaili zipite yaani mambo ya ajabu sana
Nafasi ya kazi hiyo hapo vigezo na masharti yote yapo hapo, sasa Mtanzania ataanza kukutafuta inbox umpigie pande ndio mwanzo wa kutapeliwa deadline ya kuomba ni tarehe 10 November.
Da unajina kam langu ila mm nashukuru mungu laifu sio haba kaza nyoro utatoka tu