Korozoni
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 264
- 105
Habari za muda huu wana JF,
Naomba kujulishwa kuhusu usafiri wa kutoka DAR mpaka Chuo Cha Ualimu Vikindu,nauli ni kiasi gani na magari yanayoelekea wapi natakiwa kupanda?
Pili,kama kuna mtu anayo joining Instructions ya chuo hicho naomba aiweke hapa screenshot inayoonesha sehemu ya malipo na mahitaji kwa ujumla ili nianze kujiandaa mapema.
Kifaa ninachotumia hakina uwezo wa kufungua PDF files.
Nimechaguliwa kwenda huko kusomea ualimu elimu ya msingi na taarifa imetoka Asubuhi hii.
Asante!
Naomba kujulishwa kuhusu usafiri wa kutoka DAR mpaka Chuo Cha Ualimu Vikindu,nauli ni kiasi gani na magari yanayoelekea wapi natakiwa kupanda?
Pili,kama kuna mtu anayo joining Instructions ya chuo hicho naomba aiweke hapa screenshot inayoonesha sehemu ya malipo na mahitaji kwa ujumla ili nianze kujiandaa mapema.
Kifaa ninachotumia hakina uwezo wa kufungua PDF files.
Nimechaguliwa kwenda huko kusomea ualimu elimu ya msingi na taarifa imetoka Asubuhi hii.
Asante!