Naitafakari sana kauli nzito ya Celina Kombani "hujafa hujaumbika"

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Hii ni kauli ambayo aliitoa kwenye bunge la bajeti linaloendelea siku chache zilizopita.Wengi tuliichukulia kauli ile kuwa ni ya aina yake hasa kwa jinsi ilivyowasilishwa.Wapo baadhi waliyoipuuza na kuiacha ipite.

Hivi ni nini kilichojificha kwenye uwaziri wa Prof. Mark Mwandosya hadi tunaambiwa "hujafa hujaumbika?" Mwandosya ni waziri pekee asiye na wizara niliyewahi kusikia duniani! Ama kweli "hujafa hujaumbika"

Wakati mawaziri wengine wanapanga bajeti za kuwatumikia wananchi kwa kutumia kodi zetu, yeye Mwandosya anapanga bajeti ya kula, kunywa na kutembea kwa kutumia kodi zetu watanzania.Ndiyo, ana haki ya kupanga bajeti! Si ni waziri? Mimi najiuliza sana mpaka napata hasira! Ni kwa nini Kikwete alimteua waziri anayetumia kodi za watanzania kujipangia bajeti ya kutumia yeye mwenyewe?

Kweli Kikwete kwa hili nilijikuta nazidi kumtafakari ni rais wa aina yake! Kuna nini kati ya Kikwete na Mwandosya hadi tunaambiwa kuwa hujafa hujaumbika? Ni fadhila gani na kwa jambo lipi zinazolipwa? Kuna mambo kama watanzania tunayachukulia kawaida lakini yanatupatia taswira ya ajabu sana duniani!

Ina maana kwa kauli ya Celina Kombani Kikwete anamuumba Mwandosya kwa kumpa uwaziri, shangingi na bajeti huku kukiwa hamna analofanya kama waziri kwa ajili ya watanzania? Hizi ni kodi zetu na mimi ni miongoni mwa walipa kodi nina haki ya kulalamika! Tuangalie matatizo lukuki yanayotukabili huku kukiwa na mawaziri wasio na wizara wanaopangiwa bajeti na kupewa mashangingi, walinzi na hadhi zote kama waziri!

Ama kweli "hujafa hujaumbika" Mimi mlala hoi nani ataniumba?

Pumzika kwa amani baba wa taifa la Tanzania...uliyakemea haya kwa uzalendo wa hali ya juu!
 
Hii ni kauli ambayo aliitoa kwenye bunge la bajeti linaloendelea siku chache zilizopita.Wengi tuliichukulia kauli ile kuwa ni ya aina yake hasa kwa jinsi ilivyowasilishwa.Wapo baadhi waliyoipuuza na kuiacha ipite.

Hivi ni nini kilichojificha kwenye uwaziri wa Prof. Mark Mwandosya hadi tunaambiwa "hujafa hujaumbika?" Mwandosya ni waziri pekee asiye na wizara niliyewahi kusikia duniani! Ama kweli "hujafa hujaumbika"

Wakati mawaziri wengine wanapanga bajeti za kuwatumikia wananchi kwa kutumia kodi zetu, yeye Mwandosya anapanga bajeti ya kula, kunywa na kutembea kwa kutumia kodi zetu watanzania.Ndiyo, ana haki ya kupanga bajeti! Si ni waziri? Mimi najiuliza sana mpaka napata hasira! Ni kwa nini Kikwete alimteua waziri anayetumia kodi za watanzania kujipangia bajeti ya kutumia yeye mwenyewe?

Kweli Kikwete kwa hili nilijikuta nazidi kumtafakari ni rais wa aina yake! Kuna nini kati ya Kikwete na Mwandosya hadi tunaambiwa kuwa hujafa hujaumbika? Ni fadhila gani na kwa jambo lipi zinazolipwa? Kuna mambo kama watanzania tunayachukulia kawaida lakini yanatupatia taswira ya ajabu sana duniani!

Ina maana kwa kauli ya Celina Kombani Kikwete anamuumba Mwandosya kwa kumpa uwaziri, shangingi na bajeti huku kukiwa hamna analofanya kama waziri kwa ajili ya watanzania? Hizi ni kodi zetu na mimi ni miongoni mwa walipa kodi nina haki ya kulalamika! Tuangalie matatizo lukuki yanayotukabili huku kukiwa na mawaziri wasio na wizara wanaopangiwa bajeti na kupewa mashangingi, walinzi na hadhi zote kama waziri!

Ama kweli "hujafa hujaumbika" Mimi mlala hoi nani ataniumba?

Pumzika kwa amani baba wa taifa la Tanzania...uliyakemea haya kwa uzalendo wa hali ya juu!

We nawe na huyo babako wa taifa hee!!!madhambi yote yale ati alale peponi hata haya huoni.
Mungu muweke pahala anapostahili
 
We nawe na huyo babako wa taifa hee!!!madhambi yote yale ati alale peponi hata haya huoni.
Mungu muweke pahala anapostahili

mkuu ni kwa hili la kukemea ufisadi...mengine ahukumiwe tu!!
 
Sijakupata vizuri maana heading na content kidogo umeniacha maana ulichoandika ni kauli zake, otherwise mnukuu kidogo kwa kuweka "........." mwisho wa kunukuu nadhani utaeleweka vizuri
Kumbe hata MCHUNGUZI HURU na Shemeji na nyie hamjaelewa kama mie
 
Last edited by a moderator:
Sijakupata vizuri maana heading na content kidogo umeniacha maana ulichoandika ni kauli zake, otherwise mnukuu kidogo kwa kuweka "........." mwisho wa kunukuu nadhani utaeleweka vizuri
Kumbe hata MCHUNGUZI HURU na Shemeji na nyie hamjaelewa kama mie
Umemsta vizuri mkuu, ila wengine hatujaelewa huyo Kombani alikuwa anazungumza hayo katika contet ipi, maana amemnukuu nusus nusu......afafanue
 
image.jpg Tazama kwa umakini picha hii utajua walitoka wapi ....
 
Hii ni kauli ambayo aliitoa kwenye bunge la bajeti linaloendelea siku chache zilizopita.Wengi tuliichukulia kauli ile kuwa ni ya aina yake hasa kwa jinsi ilivyowasilishwa.Wapo baadhi waliyoipuuza na kuiacha ipite.

Hivi ni nini kilichojificha kwenye uwaziri wa Prof. Mark Mwandosya hadi tunaambiwa "hujafa hujaumbika?" Mwandosya ni waziri pekee asiye na wizara niliyewahi kusikia duniani! Ama kweli "hujafa hujaumbika"

Wakati mawaziri wengine wanapanga bajeti za kuwatumikia wananchi kwa kutumia kodi zetu, yeye Mwandosya anapanga bajeti ya kula, kunywa na kutembea kwa kutumia kodi zetu watanzania.Ndiyo, ana haki ya kupanga bajeti! Si ni waziri? Mimi najiuliza sana mpaka napata hasira! Ni kwa nini Kikwete alimteua waziri anayetumia kodi za watanzania kujipangia bajeti ya kutumia yeye mwenyewe?

Kweli Kikwete kwa hili nilijikuta nazidi kumtafakari ni rais wa aina yake! Kuna nini kati ya Kikwete na Mwandosya hadi tunaambiwa kuwa hujafa hujaumbika? Ni fadhila gani na kwa jambo lipi zinazolipwa? Kuna mambo kama watanzania tunayachukulia kawaida lakini yanatupatia taswira ya ajabu sana duniani!

Ina maana kwa kauli ya Celina Kombani Kikwete anamuumba Mwandosya kwa kumpa uwaziri, shangingi na bajeti huku kukiwa hamna analofanya kama waziri kwa ajili ya watanzania? Hizi ni kodi zetu na mimi ni miongoni mwa walipa kodi nina haki ya kulalamika! Tuangalie matatizo lukuki yanayotukabili huku kukiwa na mawaziri wasio na wizara wanaopangiwa bajeti na kupewa mashangingi, walinzi na hadhi zote kama waziri!

Ama kweli "hujafa hujaumbika" Mimi mlala hoi nani ataniumba?

Pumzika kwa amani baba wa taifa la Tanzania...uliyakemea haya kwa uzalendo wa hali ya juu!
Marehemu Rashid Mfaume Kawawa wakati huohuo wa Nyerere aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu. Kwa kiingereza tulimwita the Ministry without portfolio. sasa sijui utasema vipi?
 
Marehemu Rashid Mfaume Kawawa wakati huohuo wa Nyerere aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu. Kwa kiingereza tulimwita the Ministry without portfolio. sasa sijui utasema vipi?

Nakumbuka pia Kingunge aliwahi kuwa waziri hasiye na wizara maalum miaka ya 90 nadhani hata Malecela baada ya kutolewa uwaziri mkuu.
 
Mimi binfsi ninakushangaa wewe kwa KUZISHANGAA kauli za CCM! Kuna mwingine mnamuita Spika aliwahi kusema hivi Kama yeye angekuwa na uwezo wa Kimungu basi angemchagua Mtanzania mwingine afe badala ya Dr. Mgimwa (former Minster of finance). Wakati hii serikali ya awamu ya nne ikishindwa kabisa kutoa OC kwa idara na Taasisi zake (ziko hoi bin taabani haziwezi hata kulipa utilities bills). Bado Rais anamteua mtu kuwa waziri asiye na wizara maalumu kwasababu eti HUJA HUJAUMBIKA! This can only be found in Tanzania. Kama huyu Rais ana huruma kiasi basi awateue wagonjwa wote waliopo mahospitalini kuwa mawaziri wasio kuwa na wizara maalumu, maana hawajafa, hawajaumbika!
 
Kauli ya Kipumbavuuu sijawahi ona, Serikali Haifi , hela yake ambayo ni ya wananchi inaliwa kijanja kwa porojo za kiasiasa. Wangapi wameugua kwa muda mrefu na kuachishwa kazi??? iweje cheo kikbwa kama waziri kiwe na porojo wakati kodi inatmika??? mshahara wa waziri na watu wanaomzunguka ni dispensary moja kila mwezi huko kijijini kwetu
 
Back
Top Bottom