KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Natoa tahadhari juu ya huu mgogoro wa mpaka kwenye Ziwa Nyasa kwani serikali inatakiwa kuuchukulia kwa umakini sana huu mgogogro ni wakutengenezwa!!
Kwani ukiangalia kuna watu nyuma ya huu mgogoro! pia kuna kila sababu Rais kutoa Kauli yake kuliko kumwachia Mh Membe..kwani katika huu mgogogro nimeona Mh Membe kajikita kwenye kusafisha njia zakuelekea uraisi 2015!!
Ukiangalia nchi za maziwa mkuu ni nchi pekee ya Tanzainia haina migongano yakisiasa kusababisha vita baina ya nchi na nchi!au vita vya wenyewe kwa wenye hivyo kwa mantiki hiyo ni dhahili huu mgogoro ni wakupikwa!! hivyo tahadhali ni muhimu pili sioni sababu ya kutunishiana misuri kwani bado mpema!
Tungoje kusikia kauli ya Serikali ya Malawi baada ya tamko la serikali kupitia Waziri wake wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh Benard Membe kusema Bungeni juu ya msimamo wa Serikali yake.
Kwani ukiangalia kuna watu nyuma ya huu mgogoro! pia kuna kila sababu Rais kutoa Kauli yake kuliko kumwachia Mh Membe..kwani katika huu mgogogro nimeona Mh Membe kajikita kwenye kusafisha njia zakuelekea uraisi 2015!!
Ukiangalia nchi za maziwa mkuu ni nchi pekee ya Tanzainia haina migongano yakisiasa kusababisha vita baina ya nchi na nchi!au vita vya wenyewe kwa wenye hivyo kwa mantiki hiyo ni dhahili huu mgogoro ni wakupikwa!! hivyo tahadhali ni muhimu pili sioni sababu ya kutunishiana misuri kwani bado mpema!
Tungoje kusikia kauli ya Serikali ya Malawi baada ya tamko la serikali kupitia Waziri wake wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh Benard Membe kusema Bungeni juu ya msimamo wa Serikali yake.