Atuswegetz
New Member
- Nov 18, 2010
- 1
- 0
Naishukuru jamii forum na wanajamii wote kwa mchango wao wa mawazo na kupashana habari kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya nchi yetu .
Nasi tunashukuru kwa kuikubali JF, karibu sana na zingatia kanuni na sheria zetu.Naishukuru jamii forum na wanajamii wote kwa mchango wao wa mawazo na kupashana habari kwa ajili ya ujenzi na maendeleo ya nchi yetu .