Naishi naye ndio, Lakini...

Mchumba wako atakua wakwanza kuiona pepo. Yani umzalishe mtu (nitakuelewa) na bado uishi nae ndani chief??? Nisingekubali huo upuuzi labda kama na mimi nina mishe zangu na kwako kuna ninachofaidika nacho ila mapenziwise siwezi kubali huo upumbavu
 
Muachie huyo mama na mtoto hiyo nyumba waishi, some part apangishe. Plus tuma mahitaji muhimu ya mtoto.
Then.... endelea na huyo ambaye uko na mpango nae!
 
Mchumba wako atakua wakwanza kuiona pepo. Yani umzalishe mtu (nitakuelewa) na bado uishi nae ndani chief??? Nisingekubali huo upuuzi labda kama na mimi nina mishe zangu na kwako kuna ninachofaidika nacho ila mapenziwise siwezi kubali huo upumbavu
Mshauri wewe labda atakuelewa,,maana mm nimeshindwa hata kushangaa
 
Mchumba wako atakua wakwanza kuiona pepo. Yani umzalishe mtu (nitakuelewa) na bado uishi nae ndani chief??? Nisingekubali huo upuuzi labda kama na mimi nina mishe zangu na kwako kuna ninachofaidika nacho ila mapenziwise siwezi kubali huo upumbavu
Hakika wanawake mmeumbwa tofauti, unajua mimi ukizalishwa tu wakati tupo kwenye mahusiano sikuelewi. Labda nkukute tayar una mtoto wako ila umezalishwa wakati upo nami?? Basi duh hapatoeleweka
 
Mnaomshauri kuwa amuoe mama mtoto wake mko sahihi na kwa wakati mmoja pia hamko sahihi kumbukeni huyu amesema pamoja na yote hana hisia naye sasa mwanaume kuishi na mwanamke asie na hisia nae kitakachofuata ni nini..?
.
Ila bado namshauri ajifunze kumpenda aliye zaa nae pengine ndie Mungu amempangia.
Nachoweza kumwambia huyu mtu, hisia nae anazo ila ana tamaa, anaonekana anapenda sana chini...anamlinganisha mke wake na wanawake wengine
 
Hakika wanawake mmeumbwa tofauti, unajua mimi ukizalishwa tu wakati tupo kwenye mahusiano sikuelewi. Labda nkukute tayar una mtoto wako ila umezalishwa wakati upo nami?? Basi duh hapatoeleweka
Nitaelewa umbali ulichangia kupata tamaa ukanicheat yakatokea yaliyotokea. Sasa kuishi nae tena hapo siwezi kukuelewa kabisa.
 
Nitaelewa umbali ulichangia kupata tamaa ukanicheat yakatokea yaliyotokea. Sasa kuishi nae tena hapo siwezi kukuelewa kabisa.
Sasa si ndio mbali huo huo unanifanya naishi nae, unadhani mimi kila siku ntananihii wali wakati wewe upo kagera huko??
 
Mkuu hapa huna jinsi tena, huyo mtoto anahitaji malezi yenu wote...oa tu kwani hata zamani wazee wetu walikuwa wanaoana kimazoea. Hampendani ila baada ya muda mnaanza kuzoeana na kupendana, mazoea yana taabu na raha yake pia.
Hivi wanaume mnaweza kuishi na mwanamke usiempenda??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom