Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,249
- 88,106
Mchumba wako atakua wakwanza kuiona pepo. Yani umzalishe mtu (nitakuelewa) na bado uishi nae ndani chief??? Nisingekubali huo upuuzi labda kama na mimi nina mishe zangu na kwako kuna ninachofaidika nacho ila mapenziwise siwezi kubali huo upumbavu