Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,829
- 6,376
Siyo atakuja kupiga, atakuwa anapiga tayari ndo maana hatilii maanani mchumbake kuishi na mke.
Huyo mchumba wako aliyekusamehe atakuja kukupiga pigo moja takatifu hadi utatamani umrudie huyo mwanamke uliyezaa naye na unayetaka kumuacha akahangaike na damu yako