Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,292
Sasa mzee baba miaka mitatu yote mnaishi pamoja hujawahi kuwa nae hisia tu? Mlikua mnaishi vipi sasa.
Basi mwambie tu ukweli kuwa humhitaji ila utakua na dhambi sana kwa kumtumia muda wote huo.
Effect yake kisheria. Hadi hapo mlipofikia sheria inawatambua kama mmeoana...soma kigungu cha 160(1) cha sheria ya ndoa ila unavyomuacha lazima umpe chochote kitu.
Ushauri wa maana kutoka kwangu wa kidini zaidi We OA bana
Basi mwambie tu ukweli kuwa humhitaji ila utakua na dhambi sana kwa kumtumia muda wote huo.
Effect yake kisheria. Hadi hapo mlipofikia sheria inawatambua kama mmeoana...soma kigungu cha 160(1) cha sheria ya ndoa ila unavyomuacha lazima umpe chochote kitu.
Ushauri wa maana kutoka kwangu wa kidini zaidi We OA bana