Naishi naye ndio, Lakini...

Sasa mzee baba miaka mitatu yote mnaishi pamoja hujawahi kuwa nae hisia tu? Mlikua mnaishi vipi sasa.

Basi mwambie tu ukweli kuwa humhitaji ila utakua na dhambi sana kwa kumtumia muda wote huo.

Effect yake kisheria. Hadi hapo mlipofikia sheria inawatambua kama mmeoana...soma kigungu cha 160(1) cha sheria ya ndoa ila unavyomuacha lazima umpe chochote kitu.

Ushauri wa maana kutoka kwangu wa kidini zaidi We OA bana
 
Sasa mzee baba miaka mitatu yote mnaishi pamoja hujawahi kuwa nae hisia tu? Mlikua mnaishi vipi sasa.

Basi mwambie tu ukweli kuwa humhitaji ila utakua na dhambi sana kwa kumtumia muda wote huo.

Effect yake kisheria. Hadi hapo mlipofikia sheria inawatambua kama mmeoana...soma kigungu cha 160(1) cha sheria ya ndoa ila unavyomuacha lazima umpe chochote kitu.

Ushauri wa maana kutoka kwangu wa kidini zaidi We OA bana
Weekend hii na mimi nahamia kwako
 
Daah , nikiona hizi nyuzi napata kiwewe ,

Aaargh nimechepuka na manzi flan bila kinga leo ananiambia ni mjamzito na ki ukwel ni genye tu zilinipeleka huko kwakua mke wngu hakuwepo ila naanza km kuhisi balaa linakuja hivi...
 
Kosa la kifundi ni wewe kuruhusu kuzaa na mtu ambaye huna mpango nae, na mbali ya hapo kukaa nae kama mke. Chakushangaza zaidi mpaka leo uko nae na unaendelea kumla eti unajizuia kuzaa nae, wakati huo huo unasema una mwanamke eti mna mipango mikubwa.
Nakushauri kama umeweza kuishi nae huyu miaka yote hii na umejiridhisha anakupenda, huyu ndio mkeo, huyo mbaye inaonekana wewe unampenda , yeye hakupendi mpaka kukuruhusu uishi na mke mwingine akijua kabisa mnakutana kimwili, ana malengo tu fulani na wewe.
Oa huyu mzazi mwenzako akupendaye.
Kweli kabisa
 
Ha ha ha,,wapi huko na lini?
yaani alipotea vuup... Huwa najiuliza hadi leo ni nini kilitokea. Afu hatukuwa hata wapenzi labda nimdange, nakumbuka text ya mwisho alinambia anaenda angalia mpira angenitafuta simuni akirudi, dah hakurudi. Nilimpigia simu, text ila waapi. Niliumia sana kumkosa, niliumia yaani vile kuwa na stress. Kibaya sikuwa namjua kivile ndo tulikuwa tunaanza juana. Sijui alikufa mpirani, labda siku moja atanitafuta.
 
yaani alipotea vuup... Huwa najiuliza hadi leo ni nini kilitokea. Afu hatukuwa hata wapenzi labda nimdange, nakumbuka text ya mwisho alinambia anaenda angalia mpira angenitafuta simuni akirudi, dah hakurudi. Nilimpigia simu, text ila waapi. Niliumia sana kumkosa, niliumia yaani vile kuwa na stress. Kibaya sikuwa namjua kivile ndo tulikuwa tunaanza juana. Sijui alikufa mpirani, labda siku moja atanitafuta.
Pole sana,vipi bado unamtegemea kuwa siku moja atakutafuta?
 
Cha kufanya
Mjengee nyumba ya vyumba vitatu tu huyo uliyezaa naye. Fully furnished.
Mwanzishie biashara ya kufanya huku ukiendelea kusupply chakula throughout.
Mwambie tu ulikuwa umeoa hivyo huna budi kufikia hayo maamuzi.!!

Oa huyo mke wako ambaye una malengo naye.(sijui Ni malengo gani huwa tunayo zaidi ya mbunye)
Muendelee kuishi na maisha yasonge mbele.

Uendelee kuhakikisha huyo mwenye mtoto hakosi mahitaji muhimu.
Ujiandae pia kupigwa pigo takatifu na huyo uliye na malengo naye.!!
Kuna uwezekano ukaishia kulea watoto wa wanaume wenzio wakati wa kwako umemtupa anateseka huko na mama yake.


In summary Ni kuwa wewe utakuwa mume wa wanawake wawili!!
Hata ukikataa, tayari umeshazaa na mtu. Ni mkeo tayari huyo. Hivyo utakuwa umeoa na kuacha.!!
 
Akili umepewa na kuzitumia umeshindwa baki na mama mtoto wako...

Huyo mwingine achana nae aende kwingine...


Cc: mahondaw
 
Naomba niwaulize mnaosema ampangishie nyumba au amjengee na kumfungulia biashara kisha aoe kipenzi chake na kumuacha huyu mama mtoto wake ; hivi huyo mwanamke anayeishi nae mnahisi anahitaji hela + nyumba au anahitaji penzi la jamaa?
Na je mnavyohisi jamaa akimpatia vitu hivyo, ataridhika kwamba jamaa aoe mke mwingine na wakati ashakaa nae for 3 years?
 
Wewe niamini mimi kakaangu, mwanamke ukishamfanyia ubaya temana nae tena usirudi nyuma, utakuwa umefungua mlango kwake wa kukufanyia lolote tena bila aibu maana wewe ndo ulianza kukosea tena atakufanyia vitimbi utahisi ni shetani, hawezi kukusamehe wakati bado unaishi na huyo binti eti anapenda mtoto wangu, ivi una akili timamu wewe? unajisikia?. usithubutu kuoa huyo mchumba wako.kubali kosa na haya ndio matunda ya makosa yako, oa huyo binit unae ishi nae anza familia. Na huyo binti umempotezea muda sana ukianza kumwacha sasa hizi na mtoto wewe kubali madhaifu anza maisha ya kifamilia. Sielewagi mtu unaishi na mtu miaka mitatu afu unasema hujawahi mpenda unaishi nae sababu ya mazingira magumu kwao, mazingira gani? ulishindwa kumpangia nyumba? acha kutafuta sababu kumrudia mpenzi wako wa zamani ukidhani kuna mapenzi hapo. Hamna na ukirudiana nae niamini mimi hadi sumu anakuwekea yani umezaa nje na unaishi na mwanamke mwingine afu unategemea anakuelewa???????????????????????????????????????????
 
huyu jamaa naona hajielewi.umekaaje na mtu miaka 3 huna malengo nae? me hata miezi 2 namsepesha
Hili ndio kosa ulilofanya just imagine mtu mnalala na kuamka kwa number of years then ghafla anakwambia hana malengo na wewe does it make sense?
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom