Pole sana dada but mi mbona naona miaka yako tayari imesha tupa mkono miaka 40 ni mingi sana so haina haja we chamsingi tu endelea kujitunza na kufanya mambo mengine coz ukisema hapo tena muanze kuwekana ndan kwa umri huo mmh niku kupandishiana presha haina haja we tulia tu dada na pia hongera kwa kuwa mkweli .
Dada Mungu atakuongoza upate mtu wa uhakika kama ulivyoomba,hujazeeka na pia unahitaji unyumba kama mwanamke yoyote mwingine anavyohitaji,sasa usisikilize ya watu.Hata mie ntasaidia kukutafutia nikuunganishe nae,mengine mtamalizana wenyewe
ana jf katika thead ambazo watu wamekuwa wapole hii nayo imo. But mtoa mada ametumia maneno yenye hisia sana kiasi kwamba unapochangia vidole vinatetemeka. Mungu amjalie jamani dada wa watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.