Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,215
- 2,418
- Thread starter
- #121
Ni kweli hakuna haja ya kuoa maana utaoaje wakati hata kabla ya kuoa unapata kila kitu kama mtu alieko kweny ndoa wadada mnapokubali kutoa pambuchi tena wengine mpka mnahamia kwa mabwana zenu mnatufanya tuone umuhimu na ulazima wa kuoa maana kama napata kila kitu kama aliea sasa kuna haja gani ya kuoa!!?? Kwa hiyo unajikuta unakuchukua huyu mnakaa wee akija shituka mnaachana unachukua mwingine hivo hivo mpaka na watoto unapata.
Kwa dini zingine ni sawa Ila kwa waislam ni DHAMBI “tunaambiwa tusiikaribie zinaa” sasa unavyofanya hivyo unafaidika duniani tu kwa tamaa za mwili Ila akhera kuna dhambi zako zinakusubiria, Kwahiyo hivi hanikomoi mm bali tunapata wote dhambi! Na dini anaijua vizuri haswa