Kila shetani na mbuyu wake komaa na mbuyu wako dada. You are stuck together so keep sticking hakuna matata it comes with the package. Hakuna aliekamilika. It's better the devil you know than the devil you don'tThat’s your opinion siwezi kukubishia....
I met him with nothing only his job, kanikuta kwangu kwa mawazo yake akaona tuishi pamoja nimeplay part kubwa sana sana kwenye maisha yake that’s why hé decided kufanya Ali/anavyonifanyia siwezi kuongea nimefanya hivi na hivi
Na mm siogopi maisha, nimeanza biashara kuanzia niko o level to A level, chuo hadi sasa hata yeye ni amenipanulia tu nina vitu vyangu tofauti na alivyonipa yeye, nawasomesha wadogo zangu wawili na sio kwa kumtegemea yeye
Inshort recently
I CANNOT LEAVE HIM, sikuja kuomba ushauri wa kuachana nae