Naishi na Mwanaume, tatizo nikimgusia suala la ndoa anadai nisubiri hayuko tayari kwa sasa

That’s your opinion siwezi kukubishia....

I met him with nothing only his job, kanikuta kwangu kwa mawazo yake akaona tuishi pamoja nimeplay part kubwa sana sana kwenye maisha yake that’s why hé decided kufanya Ali/anavyonifanyia siwezi kuongea nimefanya hivi na hivi

Na mm siogopi maisha, nimeanza biashara kuanzia niko o level to A level, chuo hadi sasa hata yeye ni amenipanulia tu nina vitu vyangu tofauti na alivyonipa yeye, nawasomesha wadogo zangu wawili na sio kwa kumtegemea yeye


Inshort recently

I CANNOT LEAVE HIM, sikuja kuomba ushauri wa kuachana nae
Kila shetani na mbuyu wake komaa na mbuyu wako dada. You are stuck together so keep sticking hakuna matata it comes with the package. Hakuna aliekamilika. It's better the devil you know than the devil you don't
 
Okay dear but my comment ilikuwa general..
M/Mungu akutimizie hitaji la moyo wako.
Kaisha timiziwa hitaji la moyo ila package imekuka na accessories tofauti na alizomchagulia Mungu akati Mungu alishamwandalia since day 1
 
Sawa umeshinda sipendwi... umefurahi ee haya kakojoe ulale sasa


Kuonewa huruma nako raha maana wangapi wanatendwa wanaachwa na watoto wanahangaika wangapi wameolewa kwa heshima mwisho wa siku waume zao wa ndoa wamewachoma kwa magunia ya mkaa nk

Ukiona sipendwi naonewa huruma na watoto wasijehangaika Hilo tu kwangu linatosha amethamini damu yakena mama yao...
Nakumbuka kuna demu alinipenda sana na alinipa malavu kama yote ila bahati mbaya sikuwa nampenda na nilimwambia ikaturn kuwa suicide threats nalo likawa kosa yani ndo kabsa nikamchukia kwa vitendo hivo nachojua hakuna mwanaume atakaa miaka zaidi ya 2 bila kutia dem mimba au kuhalalisha jiko nje ya hapo ni zero na tatzo mdada/mkaka ukishapenda sometimes basi na akili inalala na moyo kuchukua nafasi.

Wake the https://jamii.app/JFUserGuide up and analyze your relationship ship if it's sailing or sinking. Open your eyes n mind close your heart for a minute. Ila kama ndo uliamua basi komaa mpaka kieleweke adi aseme kweli we jembe
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia)

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja.

Suala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye suala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila suala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko. Niko hoves nimechoka kuzini

View attachment 1781917
Si unaruhusiwa kuoa zaidi he mmoja? Is ambaye huko tayari, yeye akiwa tayari muongeze.
 
Ujue kuna jambo haliko sawa kwako, au kuna kitabia unacho ambacho kinampa Mashaka kuhalalisha kwa kuogopa mkiingia kwenye ndoa hicho kitabia kitaleta matatizo yeye kukwambia hawezi das why anakusubirisha tu kila mtu anahisi may be you can change later
 
Habari zenu wanaJF

Waislam wenzangu A’alaykum (eid inanukia)

Niko na mtu tuna miaka mitatu hadi sasa tumepitia changamoto nyingi furaha na huzuni, kiukweli ni mtu ambaye hajawahi kuniacha hata hatua moja. Suala lililonileta kwenu.

Huyu mtu ni Muislam mwenzangu hamna changamoto zingine zozote isipokua kwenye suala la sisi kuhalalisha anakua mgumu mno (ndoa) ukimwambia tu basi tuhalalishe ni yuko muwazi yeye kwasasa hataki.

Huduma zote anatoa kuanzia matumizi (pesa) na huduma za chumbani, tunaishi wote. Shida ni hiyo tu hataki tuhalalishe ndugu zangu nifanyaje na kuachana nae siwezi japokua mwenyewe alinambia kama naona ananichelewesha basi anipe nafasi ndani ya muda fulani ikiwa bado sijaipata hiyo ndoa turudiane.

Hata funga yangu naona haiswihi kabisa maana tunaishi wote then tunafunga eti. Kwenye kila kitu mnakubaliana ila suala la ndoa hapo hataki anasema nivumilie.

Simuelewi! Au ana miiko. Niko hoves nimechoka kuzini

Hakuhitaji...... Huyo anakupotezea muda wako. Tunawaambia hapa kila siku kuwa mwanaume kukupatia pesa za matumizi haimaanishi anakupenda bali anafanya tu kutimiza majukumu huwa hamuelewi.
 
Kuna waZazi wanawakataza watoto wao kutafuta maisha?? Wanajua niko huku kikazi..
Wazazi wanajua upo kikazi na wana Imani ipo siku utawaletea mkwe ila wewe umejirahisha pasipokuwa na matumaini.

Jitathmini, fanya maamuzi, usije ukawafedheheshe wazazi baadaye.
 
Itakua hivyo

Sababu hatukupeana space muda mrefu sana tumeishi wote muda wote huo

Ananiambia ndoa zipo tu na ndoa sio kila kitu
Miaka yote hiyo bado hamjapata mtoto? hujatuambia...labla anaangalia kama kiwanda kinazalisha ama ni hasara tu.

Wanaume siku hizi wanaangalia mbele zaidi ya uonavyo wewe.

Ila jichunguze alone, tafakari na uchukue hatua.
 
Nimesoma post hadi ya 108 zenye ushauri na majibu yako Pisi kali.

Nimegundua kuwa wewe Pisi kali umeonesha udhaifu kwa huyo jamaa, na jamaa kashaugundua udhaifu wako na ndio anautumia udhaifu huo kufanya maamuzi yake haya unayoyalalamikia.

Pisi kali kila la kheri, wanajukwaa wamekufanyia uungwana wa kukushauri, ni juu yako kufuata au kuacha
 
Sio kwamba hakupendi . Anakupenda ila ameshaju akifunga ndoa na wewe utakuja kumgeuka chapu so bora muishi hivyo .
 
Ndoa ikililiwa na Mwanamke please men be careful!
Kwani ndoa ni nini hadi uitake au kuna mabadiliko yatakuwepo tofauti na mnavyoishi kwa sasa?

Tuombe uzima mkifikisha miaka 50 ya kuishi pamoja bila kutengana ndipo mi taongea huyo jamaa mfunge ndoa, Sawa sawa shem!
 
Back
Top Bottom