Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Serikali ya CCM ni wazi sasa imepoteza kuungwa mkono na wananchi, migogoro inayoendelea na waandikishaji wa sensa na serikali itatia dosari zoezi hili muhimu kwa nchi yetu. Vijana wa Chadema nchi nzima tuko tayari kulifanya zoezi hili kwa kujitolea, kama tutaombwa kufanya hivyo na chama chetu; ninavyoona serikali hii haina hata fedha za kulipa waandikishaji wa sensa!