NAIROBI, KENYA: Ndege ya Shirika la Silverstone yatua kwa dharura baada ya gurudumu kuanguka

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
ccd.png

Ndege hiyo imelazimika kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Eldoret baada ya moja ya magurudumu yake kuanguka wakati ikipaa

Ndege hiyo ilikuwa imebeba abiria wanne ambao walikuwa wakisafiri kutoka Lodwar kuelekea Jijini Nairobi

Abiria wote wamesalimika na kutafutiwa usafiri mwingine wa ndege ya shirika la Skyward iliyowapeleka hadi Nairobi

=====

A plane belonging to Silverstone Air was on Monday forced to make an emergency landing at Eldoret International Airport, after a tire fell off during take-off.

In a statement confirming the incident, the airline said the plane, which had four passengers on board, was heading to Nairobi from Lodwar.

“We would like to confirm that earlier today our flight Dash 8 – 300 from Lodwar to Nairobi experienced an incident during takeoff and as a result, lost the number 3 wheel assembly,” reads the statement.

The passengers escaped unharmed and were booked into another aircraft operated by Skyward Airline for the remainder of the journey.

“Silverstone Air has activated its contingency plans and the customers affected were rebooked and have since landed safely in Nairobi,” added the airline.

The incident comes less than a month after another plane operated by Silverstone Air crashed at Wilson Airport shortly after take-off.

The plane – during the October 11, 2019 incident – was leaving Nairobi for Lamu when it skidded off the runway.

“We can confirm that our Fokker 50, 5Y-IZO has had an incident while taking off at Wilson Airport at 9 am this morning. The aircraft was operating the Wilson-Mombasa-Lamu-Mombasa-Wilson route,” Silverstone Air said in a statement.

-Citizen Digital-

========

MAMLAKA YA ANGA KENYA YAANZISHA UCHUNGUZI BAADA YA NDEGE ZA SHIRIKA HILO KUKUMBWA NA MATATIZO MBALIMBALI NDANI YA WIKI 1


1572275181884.png
 
Back
Top Bottom