Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,685
- 3,429
- Thread starter
- #1,061
Awaiting loading at Barcelona enroute to Mombasa. KR currently holding talks for the Mombasa commuter rail design with bidders who submitted designs in 2017.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The MitumbasView attachment 1727865
Awaiting loading at Barcelona enroute to Mombasa. KR currently holding talks for the Mombasa commuter rail design with bidders who submitted designs in 2017.
Angalia huyu mtu!! Yani hujui kuwa hiyo category yenyu ya LDC inamaanisha vitu mingi sio kuwa tu low middle income. Mko hapo kwa LDC kwa sababu mko chini sana kwa miundo mbinu, health indicators zenu bado ziko kama burundi etc.We fala sitakaa nibishane na ww kwa huu upuuzi na kama unaumia chomoa au nitapaka mate ili next time usiumie
View attachment 1727757
Uchungu!! Najua ukweli ni uchungu.The Mitumbas
Ngoja sasa commuter rail ya mombasa ianze kujengwa. Kwa sahi mombasa bara bara zimepanuliwa hata hapo dar hakuna bara bara kama zile za mombasa. Yani mji wa pili Kenya iko na miundo mbinu mzuri kushinda mji kubwa ya Tanzania.The Mitumbas
Lini mmejenga reli? Mna pesa ya kujenga reli? Ikiwa road ya km 27 tu mnaenda kukopaNgoja sasa commuter rail ya mombasa ianze kujengwa. Kwa sahi mombasa bara bara zimepanuliwa hata hapo dar hakuna bara bara kama zile za mombasa. Yani mji wa pili Kenya iko na miundo mbinu mzuri kushinda mji kubwa ya Tanzania.
Ni chizi tu ndio anaweza akabishana na ww kuhusu hilo jambo, Wakenya wenzio wote walishaachana na mambo ya LDC imebaki tu habari za GDP ushuzi inayonuka madeni ambapo tukimalizana nayo mtakuwa hamna cha kuongea, nchi yetu ni kubwa na tajiri kushinda yenu, kuhusu Afya na miundombinu jaribu uone, wenzako wamekimbia uzi wa best hospitals ww cjui uko dunia ganiAngalia huyu mtu!! Yani hujui kuwa hiyo category yenyu ya LDC inamaanisha vitu mingi sio kuwa tu low middle income. Mko hapo kwa LDC kwa sababu mko chini sana kwa miundo mbinu, health indicators zenu bado ziko kama burundi etc.
Uchungu!! Najua ukweli ni uchungu.
HAHAHA. Ndoto za amezidi. Kuota unaishi kwa kasri ilhali unaishi kwa pango. Hii kitabu ilikuwa inaongea kuhusu watanzania. UN bado haija acha na hiyo, bado kwa UN nyinyi ni LDC kwa sababu kimasomo, kiafya, miundo mbinu bado mko chini.Ni chizi tu ndio anaweza akabishana na ww kuhusu hilo jambo, Wakenya wenzio wote walishaachana na mambo ya LDC imebaki tu habari za GDP ushuzi inayonuka madeni ambapo tukimalizana nayo mtakuwa hamna cha kuongea, nchi yetu ni kubwa na tajiri kushinda yenu, kuhusu Afya na miundombinu jaribu uone, wenzako wamekimbia uzi wa best hospitals ww cjui uko dunia gani
Hebu leta taarifa inayosema tanzania ni nchi tajiri kuliko KenyaNi chizi tu ndio anaweza akabishana na ww kuhusu hilo jambo, Wakenya wenzio wote walishaachana na mambo ya LDC imebaki tu habari za GDP ushuzi inayonuka madeni ambapo tukimalizana nayo mtakuwa hamna cha kuongea, nchi yetu ni kubwa na tajiri kushinda yenu, kuhusu Afya na miundombinu jaribu uone, wenzako wamekimbia uzi wa best hospitals ww cjui uko dunia gani
Yeah hao Scania watazileta hizo bus Tanzania
Ona jinsi Tanzania mpya vile inakaa EuropeHAHAHA. Ndoto za amezidi. Kuota unaishi kwa kasri ilhali unaishi kwa pango. Hii kitabu ilikuwa inaongea kuhusu watanzania. UN bado haija acha na hiyo, bado kwa UN nyinyi ni LDC kwa sababu kimasomo, kiafya, miundo mbinu bado mko chini.
Haya vipi tena mlisema april sgr inaanza kazi mbona hivi majuzi naona mmehairisha tena mpaka mwezi wa nane? Ni pesa illiisha?
Haina haja cz tushalizungumzia hili hata wakunya wenzako wote wanaelewa na dunia nzima inaelewa kwmb Tz ni miongoni mwa nchi tajiri duniani na ni upuuzi kuilinganisha na Kenya nchi ambayo mpk leo raia wanakufa kwa njaa, so we baki na GDP ushuziHebu leta taarifa inayosema tanzania ni nchi tajiri kuliko Kenya
Haiwezi na haitokuja kutokea kufikia uchafu huu
Nairobi hospital is not a single building like your public hospital but a complex you idiot. Again, the quality of a hospital is the quality of staff and equipment, not the buildings.Mloganzira vs KNH aibu snView attachment 1727934View attachment 1727935
But these are the bad sections of Nairobi , you shared a developed place in DarHaiwezi na haitokuja kutokea kufikia uchafu huu View attachment 1727942View attachment 1727943View attachment 1727944View attachment 1727945