Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

The real most advanced public transport in East and Central of AfricaView attachment 1633948
Watu wanaongelea kuhusu Intra-City transport. Kama utaanza kuongelea inter-city basi si ndege ndo most advanced???

Alafu umesahau Ethiopia

1606399300680.png


1606399379123.png



1606399464784.png
 
Ethiopia iko na hivi vyote lkni bado haifiki Kenya sasa Tanzania ni nani
Hua nashangaa hawa jamaa, mara utawaskia sijui, 'tukimaliza kujenga SGR, stegler gorge dam, crude oil pipeline.. etc tutawapita kiuchumi '

Ethiopia wako na hio SGR ya umeme, wako na umeme mwingi, wako zaidi ya watu 100 million, lakini bado hawaja tupita!
 
Hua nashangaa hawa jamaa, mara utawaskia sijui, 'tukimaliza kujenga SGR, stegler gorge dam, crude oil pipeline.. etc tutawapita kiuchumi '

Ethiopia wako na hio SGR ya umeme, wako na umeme mwingi, wako zaidi ya watu 100 million, lakini bado hawaja tupita!
Tz haijwahi na haitowahi kushindana na nchi yyte ya Africa, cc lengo letu ni kuwa km Europe, ss tuanze kushindana na nchi yenye maslums kuliko nchi zote duniani ili tugundue nn kwa mfano
 
Nyie mafala mbn mpo kmy humu kwa huu uzi? Au ndo mshauzoea mtumba ndo mnagundua kuwa mlipigwa, yn karne ya 21 bado mnanunua mitumba!! WTF, hebu oneni the most developed country in EA
tapatalk_1606564209115.jpeg
tapatalk_1606561754052.jpeg
tapatalk_1606561730712.jpeg
tapatalk_1606561738148.jpeg
tapatalk_1606555769407.jpeg
tapatalk_1606551452018.jpeg
tapatalk_1606161381622.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_2020-11-28-11-09-03.png
    Screenshot_2020-11-28-11-09-03.png
    158.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-11-28-09-21-30.png
    Screenshot_2020-11-28-09-21-30.png
    175.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2020-11-28-09-00-16.png
    Screenshot_2020-11-28-09-00-16.png
    213.6 KB · Views: 1
Most modern transport iko wapi we mwehu nn yn mtumba unaita modern, fala ww hii hapa phase 2 brt network call it the most modern transport network within the EAC countries


HAHAHAHA, niliwaambia hata phase 2 bado haijakamilika na World bank wamekasirika sana kwa huo uzembe. Bado ni hile tu 21km ya phase 1. World bank kwa sahi wanaona hawatatoa mkopo ingine kwa BRT ya Tanzania.

Yani sub saharan africa kumbe ni south africa na Kenya ndizo ziko na commuter rail transport inapita 200km. Nyinyi wengine bado ni kukimbizana na basi.

Unakumbuka nikikupasha habari kuwa phase 1 iko na laini 5 za 200 km? Basi hivi juzi wameenda kwa kasi mpaka laini ya 6 iliyokuwa imalizwe phase 2 imeanza kazi Nairobi Central station mpaka Athi river. Na february 2021 treni ni mpaka ndani ya JKIA.

Nyinyi BRT bado mnakimbizana na laini moja ya 21 km.
 
Back
Top Bottom