eddy25r
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 902
- 785
Na bado. Western bypass and expressway loading. ...Nionyeshe Cloverleaf Interchange Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado. Western bypass and expressway loading. ...Nionyeshe Cloverleaf Interchange Tanzania
Hehehe, watanyamba humu. 😂Na bado. Western bypass and expressway loading. ...
Raundi hii watajua hawajui.Hehehe, watanyamba humu. 😂
Mulisa banaNani alikudanganya old model inaizidi Toyota mpya bei...?? Labda uko Kenya...
London ndio mji uliopangiliwa kutoka zama zileOnesha sehemu mnaikaribia hapa japo ni northern Britain, unaleta ujuaji apaView attachment 1613036
Huyo msee ni zuka la mwisho yani yeye huingia kw browsee alafu hu search then kitakachojitokeza tosha kwakehiyo picha ni ya bogota siyo britain akili kidogo mdomo kubwa. Fanya utafiti kabla ya kuadika kitu. BRT yenyu imefika wapi? huku commuter rail ni 200 km phase 1 na BRT hapo dar ni km ngapi?
Hyu jamaa ni zukahiyo picha ni ya bogota siyo britain akili kidogo mdomo kubwa. Fanya utafiti kabla ya kuadika kitu. BRT yenyu imefika wapi? huku commuter rail ni 200 km phase 1 na BRT hapo dar ni km ngapi?
Hii ni Bogota eti, wacha nilale ucnipotezee muda ila km uko vzr anzisha huu mjadala kesho g9t.View attachment 1613121
Inapiga ruti za wapiCommuter rail ipo miaka mingi na ni functional ndo mana wenzako hawakukujibu View attachment 1613632
Ina run mpaka hivi sasa tunavyojibizana....Inapiga ruti za wapi
Manake km ni hyo mitungi ilipiga sana nairobi
Msamee pleaseShow me a trumpet Interchange in Tanzania. In Kenya we have them even in rural areas.
Tuna treni za Delux mzee, behewa 7 na moja la wanafunzi.....Inapiga ruti za wapi
Manake km ni hyo mitungi ilipiga sana nairobi
Leo eti imekua kila mtu anajenga kw mfumo wake..mbna sasa mlikua mnajitapa km sisi hatuna three level interchangeHahahaha dah ndo nimeingia muda huu nakuta umeweka upuuzi wa kufa mtu utakuta unasema show me diamond interchange, cjui round nn cjui yn unachekesha sn ww sema onesha interchange au onesha kitu fulani cz we unaweza jenga kwa mtindo huu mm nikajenga kwa mtindo ule but the same meaning, ss ngj nikiwa free ntakunyoosha leo, hahahaaa na ndo utajua kwamba Tz kuna infrastructure zipo kwenu hamna ila nyie hamna infrastructure af cc tukakosa just wait nimalize shughuli zng zen niwe free utafurahi leo
Ndio zile jointed rails, zinalia kama spana, na hii inamaana bado mpompo kwenye Diesel ages, na nilazima mfanye hivo maana sijaona kama mnatarajia kuwa na power electricity kubwa hivi karibuni, lkn pia kuwa super second hand hub in the region.Tanzania: Tumejenga BRT ambayo iko dar. (Wote wanashangilia) CCM hoiyee!!
Kenya: Tutajenga commuter rail ya 400 km siyo BRT ya 21km ambayo itakuwa na msongamano kama ya Tanzania!!
Tanzania: Hamwezi kamwe hata mfanye nini!!!
Kenya : Tumeanza testing ya commuter rail phase 1 (200 km) iliyo na 5 lines na tume jenga station 10 zaidi na tumekarabati stesheni 8.
Tanzania: (Mshtuko wa moyo, roho chafu na ya kichawi inaanza) Haiwezekani!!! Iweje donor country haina commuter rail , BRT yetu hata line tatu haina na haifiki hata 60 km, sgr imekwama bado porini. (Anashikwa na wazimu na kuanza kuonyesha ujinga ya kuzaliwa akitaja kibera).
Kenya: HAHAHAHAHA, Angalia huyu mjinga kwa ujinga wake. Na bado tunaongeza ingine 200 km mwaka ujao
Tanzania: (Mashetani za mababu zao zinawapanda). Wuuuuuuuuuuuuuuuuuuwiiiii, kibera, njaa,turkana(Na matamshi mengine ya kitoto yasiyokuwa na kichwa wala mkia).
Nani mjinga hapa?
Alafu anajichocha eti anaweza kuaibisha mtu akibishana naye mambo ya infrastructure. Utakua fala mgani udhani hiyo picha ni ya London? 😂 😂 😂Hyu jamaa ni zukaView attachment 1613903
safi sana ...Show me a trumpet Interchange in Tanzania. In Kenya we have them even in rural areas.
We have them in multiples while you have none.Nimekuambia hv hakuna infrastructure mnayo cc tukakosa ila cc tuna infrastructure ambazo ninyi hamna