Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Kama mada inavyosema wadau na wazalendo wa Taifa ili,nimefanya maamuzi sahihi ya kua mpelelezi binafsi wa jamii. Nchi yetu imekua na matukio ambayo kusema ukweli yamelitia doa Taifa letu .Taifa lililo jipatia sifa nzuri Duniani kwa kua Taifa la haki,usawa,amani,umoja na upendo.
Najua bila shaka kuna taasisi au watu wengine wenye uchungu na Taifa letu lakini labda wameshindwa kujitoa ili kulinda tunu zetu za Taifa. Katika upelelezi wangu wa jamii naomba kuwajulisha kua niyafanyia kazi yafuatayo.
1.Kupeleleza na kupata taarifa za kuwakamata watu au mtu alie husika kumlisha ( kumuwekea) sumu Mh.John Pombe Magufuli ambae kwasasa ndiye Rais wetu .Tukio lilitokea Dodoma kabla ajawa Rais
2.Kupeleleza na kuwezesha kuwakamata wale wote walio husika kumlisha sumu(kumtega) Mh.Mzee Mangula Philipp
3.Kupeleleza na kuwezesha kuwakamata wale wote walio husika kwenye mauaji ya Kibiti ili sheria ichukue mkondo wake
4. Kupeleleza na kuwezesha kukamatwa wahusika wa Shambulio la Mh.Lissu Antipas,kupotea kwa Azory Ngwanda,Ben Saanane.
Nitafuata taratibu zote zinazotakiwa ila sitaki malipo nk ninachokitaka ni maombi tu ili niweze kulitumikia na kulilinda Taifa Langu.
Naipenda Tanzania.
Cc Pascal, Etwege,BAKI,Bia Yetu,Chagu Malunde,Britanicca,Ecrypte,USSR,Nguvu.
Najua bila shaka kuna taasisi au watu wengine wenye uchungu na Taifa letu lakini labda wameshindwa kujitoa ili kulinda tunu zetu za Taifa. Katika upelelezi wangu wa jamii naomba kuwajulisha kua niyafanyia kazi yafuatayo.
1.Kupeleleza na kupata taarifa za kuwakamata watu au mtu alie husika kumlisha ( kumuwekea) sumu Mh.John Pombe Magufuli ambae kwasasa ndiye Rais wetu .Tukio lilitokea Dodoma kabla ajawa Rais
2.Kupeleleza na kuwezesha kuwakamata wale wote walio husika kumlisha sumu(kumtega) Mh.Mzee Mangula Philipp
3.Kupeleleza na kuwezesha kuwakamata wale wote walio husika kwenye mauaji ya Kibiti ili sheria ichukue mkondo wake
4. Kupeleleza na kuwezesha kukamatwa wahusika wa Shambulio la Mh.Lissu Antipas,kupotea kwa Azory Ngwanda,Ben Saanane.
Nitafuata taratibu zote zinazotakiwa ila sitaki malipo nk ninachokitaka ni maombi tu ili niweze kulitumikia na kulilinda Taifa Langu.
Naipenda Tanzania.
Cc Pascal, Etwege,BAKI,Bia Yetu,Chagu Malunde,Britanicca,Ecrypte,USSR,Nguvu.