flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
@cocochanel uwe mkweli niwewe naunasemina mwanzaEeeeh
Hujaona mwandishi yupo Mwwanza mida hii anasali na wanawake wakiombea ndoa zao.. subiri akirusha nitarusha humu
@cocochanel uwe mkweli niwewe naunasemina mwanzaEeeeh
Hujaona mwandishi yupo Mwwanza mida hii anasali na wanawake wakiombea ndoa zao.. subiri akirusha nitarusha humu
Nipe tigo yako nawewe niwe nakutumia daily
Nguvu yamama saimoniMarino ni nguvu ya babu palwa na wewe itakuwa nguvu ya nini?
Cha muhimu marino afungue biashara yake kutumia pesa ya fadhili, amchune daniel pesa ya kiwanja ikiwezekana aanze na ujenzi kisha apeleke matunguli kanisani
Ukoo wa mama Naomi wao ni full matusi tu,nadhani ni wale watoto waliozaliwa na kukulia uswahilini
Hakuna cha babu palwa pale ni ulimi tu umetumika inavyotakikanaBabu palwa huyo
Shetani yuko kaziniWatu hampendi maombi, sijui kwa nini
Nianze na nani??Hahaha ebu kachukue bwana
Wengine wanabalance kotekote..Kama Irene naona yupo kotekote..Umenichekesha na uombe mkeo awe wa maombi.. hata udaku utampita tu.
Mwandishi lazime ampe ushindi mama Saimon.Obviously Mama saimon....
Zipo familia za ushuani ambazo zina matusi kama hiyo ya Mama NaomiUkoo wa mama Naomi wao ni full matusi tu,nadhani ni wale watoto waliozaliwa na kukulia uswahilini
Cha muhimu marino afungue biashara yake kutumia pesa ya fadhili, amchune daniel pesa ya kiwanja ikiwezekana aanze na ujenzi kisha apeleke matunguli kanisani
Mi comment kibao nikawa naperuz nikifikir stori imewekwa kumbe wadau mmegaueza kijiwe hichi sasa cha kupiga porojo
Sema wa udhunguni wanatukana kwa kiinglishi ILA inakuwaga mitusi haswaHa ha haaaaaaaa kuna wa uzunguni pia wako hivyo hivyo.. malezi na watokapo waliowatangulia yanachangia.
Avatar yako nzuri saana