Naipenda CCM na nitaipenda Daima kwa sababu...

nishalieleza kuwa hiki ni chama cha watanzania na hata wapinzani wameapa kukilinda mpaka kufa

Hapo zamani za kale tulikuwa na chama kimoja kilichokuwa kweli kwa maslahi ya wanyonge. Hiki tuliapa kukilinda mpaka kufa. Chama hiki kimepata kiburi cha madaraka na kutoka kwenye dira yake ya awali.

Sasa ni chama kilichojaa kila aina ya uchafu!!

Unahitaji kuwa na ujasiri sana kuapa kukilinda chama hiki mpaka kufa.
 
The thing is dying my friend stop your hallucinations and help to rescue it, anyway i dont know how because this process of death is innervitable!
 
haaaaaaa kweli ccm hoyeeeeeeeeeee
elimu ipo juu saaana hata UN wametusifuuu, ila ukweli mimi nipo TZ nikiangalia ukweli wenyewe ni hatari, Sitaki kuzungumza hili ni duni saana!
ccm oleeeeeeee
 
CCM kimeongozwa na wenyeviti wafuatao:

J K Nyerere (Mkristo)
A H Mwinyi (Muislam)
B W Mkapa (Mkristo)
J M Kikwete (Muislam)
nionyeshe chama chengine mfano wa CCM katika kubalance mambo ya udini?

suala la kadhi halikuingizwa kwa sababu ya udini na wakati huo walioandaa ilani ya chama wengi hawakuwa waislam (kama Mh Kingunge) waliona kuna umuhimu wa sehemu ya jamii wa watanzania kutekelezewa matashi yao ambao ni haki na ni sehemu ya kutekeleza imani yao. kitu ambacho CCM inaheshimu na kuthamini michango ya dini zote ktk kuimarisha amani na ustawi ktk taifa letu.

chama kingine kilichoweka ni chama cha NCCR wakati ikiongozwa na Mrema


CCM inathamini michango ya dini zote na ndio maana ukaona mwenyekiti wake anahudhuria hafla za dini zote na anapokea ushauri wa dini zote

ingelitaka CCM ingepitisha suala la Kadhi ila baada ya kusikiliza wananchi wameona waangalie utaratibu mwengine wa kuwawezesha waislamu kutimiza ndoto yao

CCM ilifuta misamaha ya kodi na ilipoenda bungeni na kusikia kilio cha wakristo iliamua kubadilisha msimamo, ni chama pekee chenye kusikiliza shida za watu

huyu kilaza anazani kubadilishana kwa ukristo na uislam ndo solution mi najua kutokutamka any dini ndo dili! namtukana huyu kidooodo we ****
 
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

sio blue rangi ya mikosi


karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili

dbi_flag_usa.gif

USA

uk.jpg

UK

japan%20flag.gif

Japan

france-flag.gif

France

flag-qatar.gif

Quatar

Germany-flag.gif

Germany

Do your research bro.... Kumbuka hata Mwl. Nyerere, mmoja wa waasisi wa CCM na TANU alisema... "CCM siyo mama", waweza kubalisha chama any time. Mapenzi unayoonesha kwa CCM na sababu ulizotoa ni mufilisi.
 
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1976 wakati nilipokuwa JKT, tuliambiwa tuchague jina la chama kipya kitakachotokana na muungano kati ya ASP na TANU. Vikao kama vile vilifanyika na baada ya hapo tukaambiwa kuwa jina la chama litakuwa Chama Cha Mapinduzi, na mboni zake ni jembe na nyundo kuashiria kinawakilisha wakulima na wafanyakazi. Tuliamini sana chama hicho na wengine tulikuwa tayari kufa kupigania sera na maadili ya chama hicho, maadili ambayo tulikuzwa nayo na yalitekelezwa kwa vitendo.

Kwa bahati mbaya sana, nasikitika kusema, kile chama ambacho kilitulea, ambacho kilikuza na kuumba fikra zetu (ambazo ndizo zinazonifanya niandike haya,) chama hicho kimegeuzwa na watu wachache wapendao uchu wa madaraka, wanaojilimbikizia mali na kukuza usultani. Chama hicho kimegeuka kuwa jini subiani ambalo limeenda kinyume na muelekeo wa kile chama tulichokuwa tunakijua na kuanza kunyonya damu ya Watanzania. ccm (sikukosea spelling), imekuwa kama cancer itokanayo na chembechembe nzuri za mwili wa binadamu, na kugeuka chembechembe mbaya ambayo inakula mwili huo huo. Matokeo yake ni cancer ambayo tusipoiondoa mapema, hakika itatuangamiza sote.


Najua kuwa wote ambao mnaotetea cancer hii mnafaidika nayo kwa njia moja au nyingine, hamna uchungu na mamilioni ya wananchi wanaosota na kutokuwa na matumaini ya siku za mbele, kwani wao wanaishi tu bora siku ipite...wanaishi maisha kama ya wanyama. Lakini wananchi wa Tanzania sio wanyama, ni binadamu wenye akili. Kuna siku, na siku hiyo inakuja, watatwaambua wabaya wao na kuwatoa madarakani. Wabaya hao sio tu kwamba watatolewa madatakani, bali pia watawajibishwa kwa matendo yao maovu waliyowafanyia Watanzania kwa kisingizio cha CHAMA CHA MAPINDUZI kilichoanzishwa mwaka 1977.


Sijui unaishi kwa hisia za rangi, lakini kila mtu ana rangi aipendayo, au katika jamii yake, rangi hiyo inaashiria nini. Binafsi, baada ya kuona unafiki unaofanywa na ccm dhidi ya Watanzania, kila nikiona hiyo rangi ya kijani nasikia kichefuchefu. Nikifungua tovuti nikiziona hizo rangi walizovaa wakinadi uongo kwenye majukwaa, nafunga tovuto hizo haraka.


Kama una hata chembe moja ya utu, utaacha kuishabikia ccm na kuiondoa madarakani, kabla haijakuangamiza hata wewe mwenyewe!


CCm ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake hadi leo hakijabadili muelekeo wake na dira yake ambayo ni

kujenga siasa ya kijamaa na kujitegemea

CCM ni chama thabiti ambacho kinaenda na jina lake ni chama cha mapinduzi, ni chama ambacho kiko tayari kwa mapinduzi (dynamic sio static Party)

CCM ni chama ambacho kina wanachama kama ilivyo vyama vyengine, sasa kila mwananchama ana tabia zake kama yeye binafsi, sio sahihi hata kidogo mapungufu ya mwananchama mwenyewe ukakivisha chama

sawa na kusema muumini wa dini fulani anazini na wake za watu, ukasema kwa vile huyu ni muumini wa dini ile kwa hio dini hio ni ya wazinifu wakati ukijua wazi misingi ya dini ile ikikataza uzinzi

CCM ni chama ambacho kiko tayari kujikosoa na kujisafisha tokea kale, ndio ukaona wahujumu wa uchumi wakati wa muasisi wake waliondolewa kwenye chama hata wakiwa ni wana CCM. pia wakati wa fagio la chuma wakati wa mwinyi wana CCM walionekana hawaendi na misingi ya chama wameondolewa, hivi karibuni waziri mkuu na mawaziri wengine wamewajibika( huoni kwenye vyama vyengine hayo). na kun a kesi ziko mahakamani na kama ingekua CCM haitaki hayo yatokee hakuna chama chochote kingethubutu kufanya hayo.

CCM bado kinapambana kuwawezesha wanyonge wa nchi hii wafaidi rasili mali za nchi yao, ingawa wako baadhi ya wana CCM hutumia vibaya mamlaka yao kuwaumiza wananchi ila tukiwabaini tunawachomoa, na ndio hukimbilia upinzani

ndio TUNASEMA upinzani wao DAIMA HUOKOTA PUMBA
 
dbi_flag_usa.gif

USA

uk.jpg

UK

japan%20flag.gif

Japan

france-flag.gif

France

flag-qatar.gif

Quatar

Germany-flag.gif

Germany

Do your research bro.... Kumbuka hata Mwl. Nyerere, mmoja wa waasisi wa CCM na TANU alisema... "CCM siyo mama", waweza kubalisha chama any time. Mapenzi unayoonesha kwa CCM na sababu ulizotoa ni mufilisi.


ni kweli mwalimu alisema kuwa CCM sio mama yake kama ambavyo nnasema CCm sio mama yangu

mwalimu alikua muasisi wa chama na hadi anafariki alikua ni mwanachama muaminifu wa CCM

aliamini wazi kabisa kuwa bila ya CCM imara nchi yetu itayumba, kwa hio yeye daima aliamini CCM ni chama makini ila tunatakiwa kujipanga na kusafisha uchafu uliomo ambao ni kazi tunayoifanya sasa

karibu CCM tuijenge nchi yetu

mWALIMU nYERER
 
ni kweli mwalimu alisema kuwa CCM sio mama yake kama ambavyo nnasema CCm sio mama yangu

mwalimu alikua muasisi wa chama na hadi anafariki alikua ni mwanachama muaminifu wa CCM

aliamini wazi kabisa kuwa bila ya CCM imara nchi yetu itayumba, kwa hio yeye daima aliamini CCM ni chama makini ila tunatakiwa kujipanga na kusafisha uchafu uliomo ambao ni kazi tunayoifanya sasa

karibu CCM tuijenge nchi yetu

mWALIMU nYERER

Vyema kabisa Mtu wa Pwani.

Nami nakubaliana nawe kwamba chama cha CCM kina hitaji kusafichwa kwa machafu yaliyomo, lakini mbinu za kukisafisha chama hiki kikongwe siyo moja. Natumaini utakubaliana nami kwamba - uking'ang'ania aina moja ya kufanya jambo la kurekebisha mapungufu katika kitu ni kuonesha ukosefu wa mbinu, utafakari na maarifa. Na kikubwa ni kuonesha ubishi na ungangari hali njia mbadala zipo na zinajulikana. Na njia kubwa iliyopo ni kuhakikisha CCM haiko madarakani, ili ipate kujionea mambo yanavyokuwa ukiwa nje. Maana viongozi wake wamejisahau. Hivyo kamanda wangu nakuasa - kula chochote hicho kiduchu wanachokupatia CCM, lakini ukifika kwenye chemba ya kupigia kura, wewe mpigie Dr. Slaa!! Baada ya hapo utaona CCM inajisafisha vizuri na kutakata. Nasi tutakuwepo kuisaidia. Na pale akina Slaa watakapo anza kuchemsha, tutakuwepo hapa JF kuwarushia madongo na kuwasawazisha.

Wajua kwamba, nchi nyingi zilizoendelea kwa demokrasia tuliyoamua kuifata sisi, zimeendelea kwa kuwa na mwanga na uwezo wa kuweza kubadili viongozi wao na vyama pale wanapochemsha.
 
Vyema kabisa Mtu wa Pwani.

Nami nakubaliana nawe kwamba chama cha CCM kina hitaji kusafichwa kwa machafu yaliyomo, lakini mbinu za kukisafisha chama hiki kikongwe siyo moja. Natumaini utakubaliana nami kwamba - uking'ang'ania aina moja ya kufanya jambo la kurekebisha mapungufu katika kitu ni kuonesha ukosefu wa mbinu, utafakari na maarifa. Na kikubwa ni kuonesha ubishi na ungangari hali njia mbadala zipo na zinajulikana. Na njia kubwa iliyopo ni kuhakikisha CCM haiko madarakani, ili ipate kujionea mambo yanavyokuwa ukiwa nje. Maana viongozi wake wamejisahau. Hivyo kamanda wangu nakuasa - kula chochote hicho kiduchu wanachokupatia CCM, lakini ukifika kwenye chemba ya kupigia kura, wewe mpigie Dr. Slaa!! Baada ya hapo utaona CCM inajisafisha vizuri na kutakata. Nasi tutakuwepo kuisaidia. Na pale akina Slaa watakapo anza kuchemsha, tutakuwepo hapa JF kuwarushia madongo na kuwasawazisha.

Wajua kwamba, nchi nyingi zilizoendelea kwa demokrasia tuliyoamua kuifata sisi, zimeendelea kwa kuwa na mwanga na uwezo wa kuweza kubadili viongozi wao na vyama pale wanapochemsha.


hapana CCM haijachemsha, na kwa uchafu CHADEMA wao ndio hawafai kabisa, ndio ukaona hata wagombea wao wameanza kukihama chama huwezi kuona hilo CCM

mgombea wao hauziki ni mzinzi na mropokwaji, kila analoambiwa hukimbilia kulisema bila ya kufanya utafiti

ni chama kisicho na dira, ukiwauliza mnafuata mrengo upi hawajui, kila kiongozi tajibu vyake

ni chama cha wababaishaji na kimekaa kikanda zaidi

katu sirogwi wala sirukwi na akili kwenda kwenye chama kinachookoteza wagombea bila hata ya kuwapima

mtu katoka leo kwenye chama chengine hajasoma hata katiba wala hamumjui mnapa nafasi ya kugombea

kweli nyny mmepwerewa pwere
 
CCm ni chama ambacho toka kuanzishwa kwake hadi leo hakijabadili muelekeo wake na dira yake ambayo ni

kujenga siasa ya kijamaa na kujitegemea

CCM ni chama thabiti ambacho kinaenda na jina lake ni chama cha mapinduzi, ni chama ambacho kiko tayari kwa mapinduzi (dynamic sio static Party) Mapinduzi ya nani?

CCM ni chama ambacho kina wanachama kama ilivyo vyama vyengine, sasa kila mwananchama ana tabia zake kama yeye binafsi, sio sahihi hata kidogo mapungufu ya mwananchama mwenyewe ukakivisha chama

sawa na kusema muumini wa dini fulani anazini na wake za watu, ukasema kwa vile huyu ni muumini wa dini ile kwa hio dini hio ni ya wazinifu wakati ukijua wazi misingi ya dini ile ikikataza uzinzi

CCM ni chama ambacho kiko tayari kujikosoa na kujisafisha tokea kale, ndio ukaona wahujumu wa uchumi wakati wa muasisi wake waliondolewa kwenye chama hata wakiwa ni wana CCM. pia wakati wa fagio la chuma wakati wa mwinyi wana CCM walionekana hawaendi na misingi ya chama wameondolewa, hivi karibuni waziri mkuu na mawaziri wengine wamewajibika( huoni kwenye vyama vyengine hayo). na kun a kesi ziko mahakamani na kama ingekua CCM haitaki hayo yatokee hakuna chama chochote kingethubutu kufanya hayo. Mbona leo Kikwete anawanadi na kusema hawana makosa?

CCM bado kinapambana kuwawezesha wanyonge wa nchi hii wafaidi rasili mali za nchi yao,ingawa wako baadhi ya wana CCM hutumia vibaya mamlaka yao kuwaumiza wananchi ila tukiwabaini tunawachomoa, na ndio hukimbilia upinzani Mbona Kikwete, Rostam Aziz, Chenge, Mramba, Lowassa hawajakimbilia upinzani?

ndio TUNASEMA upinzani wao DAIMA HUOKOTA PUMBA

Porojo
 
hapana CCM haijachemsha, na kwa uchafu CHADEMA wao ndio hawafai kabisa, ndio ukaona hata wagombea wao wameanza kukihama chama huwezi kuona hilo CCM

mgombea wao hauziki ni mzinzi na mropokwaji, kila analoambiwa hukimbilia kulisema bila ya kufanya utafiti

ni chama kisicho na dira, ukiwauliza mnafuata mrengo upi hawajui, kila kiongozi tajibu vyake

ni chama cha wababaishaji na kimekaa kikanda zaidi

katu sirogwi wala sirukwi na akili kwenda kwenye chama kinachookoteza wagombea bila hata ya kuwapima

mtu katoka leo kwenye chama chengine hajasoma hata katiba wala hamumjui mnapa nafasi ya kugombea

kweli nyny mmepwerewa pwere

Mkuu, haina haja kwangu kuendelea kujadili maswala ambayo yameshajadiliwa kwa kina kila pahala hapa JF, na hata kwenye mitandao mingine. Kwa mwaka huu wa uchaguzi, kwangu mimi na wengi niwajuao, sababu kubwa ya kutopenda uongozi wa CCM uendelee kuongoza nchi yetu ni kuchoshwa na ahadi kemkem wanazoziasi pale wanapochaguliwa. Issue ya kuruhusu akina Mramba, Chenge na Lowassa waingie tena kugombea uongozi vimekera wengi. Na sasa wengi tumechoka, na tunaangalia alternative itatufanyia nini. Jiwe lililokataliwa na waashi... tunalijaribisha!!

Labda nikuachie hapa chini burudani itakayokufanya utafakari zaidi maamuzi yako ya kuendelea na kilekile kilichoshindwa kwa zaidi ya miaka 25:



Siku njema mkuu!!
 
Last edited by a moderator:
Kwanini kikwete ampeleke mtu safi kama Mramba Basil Pesambili mahakamani. Kikwete aliwahakikishia waRombo kuwa ni mtu safi sana au ndio usaani wenyewe
 
Si bure, kakuroga Sheikh Yahya...Kipende wakati ndugu zako wanakufa nja na hospitali hazina dawa...unalo kama fataki!
 
Mkuu, haina haja kwangu kuendelea kujadili maswala ambayo yameshajadiliwa kwa kina kila pahala hapa JF, na hata kwenye mitandao mingine. Kwa mwaka huu wa uchaguzi, kwangu mimi na wengi niwajuao, sababu kubwa ya kutopenda uongozi wa CCM uendelee kuongoza nchi yetu ni kuchoshwa na ahadi kemkem wanazoziasi pale wanapochaguliwa. Issue ya kuruhusu akina Mramba, Chenge na Lowassa waingie tena kugombea uongozi vimekera wengi. Na sasa wengi tumechoka, na tunaangalia alternative itatufanyia nini. Jiwe lililokataliwa na waashi... tunalijaribisha!!

Labda nikuachie hapa chini burudani itakayokufanya utafakari zaidi maamuzi yako ya kuendelea na kilekile kilichoshindwa kwa zaidi ya miaka 25:



Siku njema mkuu!!


Saaaaaaaaafi sana, ni swali ambalo utaulizwa pahala popote duniani, MBONA TZ NI MASKINI, ukweli haja ipo ya kuona mabadiliko ya kweli, huwezi amini shinyanga pamoja na tangu enzi za baba wa taifa, ni mkoa maskini sana miundo mbinu mibovu sana, sasa kiboko nenda kahama, barabara za mjini hazifai yaani hata huyo mbunge aliyekuewepo naye hafai maana hakufahamu hata kutetea jimbo lake lenye utajiri mkubwa,

Ni swali amba
 
Last edited by a moderator:
Katika hali ya Kawaida Mtu kama anaamini Kuwa CCM ni Chama kinachofaa
Huyu Mtu si wa Kubishana naye bali ni wa kumuonea Huruma na Ikwezekana
kumuelimisha maana hajui na hajaelimika.
Lakini Kama Mtu anajua na anafanya mzaha kwa Masuala yanayogusa maisha ya
Mamillioni ya watu ni MUUAJI na hana uzaledo pia anaelement za za ujinga aina hii ya watu ni bashi
wanajifanya kujua huku hawaju na ni vigumu kukubali kuelimishwa
 
chama cha Mapinduzi ndio chama kilichozaliwa kutoka vyama vilivyotuletea ukombozi wa nchi zetu

ndio chama kilicholeta mapinduzi ya kifikra kwa watanzania katika nyanja mbali mbali, kama elimu, uchumi, afya na mengineo


ndio chama kilichojitolea kusimamia mapambano ya huru kwa bara la afrika na duniani kwa ujumla


ndio chama kilicholeta demokrasia na kuleta mfumo wa vyama vingi kwa amani bila ya vurugu


CCM imesimamia na kuwa nguzo ya amani ya nchi yetu


CCM ni chama ambacho kimechagua bendera yake kuwa kijani kwa kuamini :

rangi hio ni ishara ya maendeleo, ustawi, bahati, na ndio maana ukizungumzia usalama wa afya unawakilishwa na kijani, amani na usalama hata kwenye ICT connect ikiwa safi basi green color inapresent hilo

sio blue rangi ya mikosi


karibuni kwenye chama chenye neema na chama chenye demokrasia ndani ya chama na hata ktk kuendesha serikali zake zote mbili
crap
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom