Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
- Thread starter
- #61
Mmesahau kuwa hata kwa pwan wabunge wa viti maalumu ni wachaga hata mwenyekiti wahiyo kanda ni mchaga sumayeNi lini CHADEMA waliongoza nchi mpaka wakagawana vyeo kwa upendeleo?kama anavyofanya Magu ambaye kwenye utawala wake amejaza watu wa kanda ya ziwa na ameweka rekodi ya kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app