Naiona Wizara ya Nishati ikifanya vibaya sana chini ya January Makamba

habari wakuu,
nadhani mood wata ufuta huu uzi,

ILA NAULIZA KWAASLAHI YA NCHI HII KWELI HILI BWAWA MUHIMU KWA TAIFA LITA ENDELEZWA?

na januari makamba,

IMG-20210913-WA0007.jpg
IMG-20210913-WA0006.jpg
 
Kalemani alishaanza kufanya vibaya. Umeme ulikuwa unakatika ovyo kutwa mara 5.
 
Nikiri mwanzoni kabisa mwa andiko langu kwamba sifurahii na Wala siuzuniki Kwa mabadiliko chanya au hasi ya baraza la mawaziri au chochote katika nchi hii.

Na sababu ni kwamba Mimi ni muumini wa mambo makubwa ya kimfumo kama vile katiba inayoendana na Hali ya Sasa ya nchi na dunia kwa ujumla.

Kushughulikia mambo madogo madogo kama uteuzi wa watu kila mara ni dalili za watu wanaoshughilikia mambo madogo.

Na kifalsafa, kushughulikia city vidogo vidogo vidogo kunakufanya kuwa mdogo " dealing with small things definitely makes you small.

Hata hivyo ukiacha Hilo, kama mwananchi wa nchi hii, observation yangu kwenye reshufle ya cabinet imenipa kusema maana hata kama sishabikii wala kuuzunika," mchuma janga hula na wa kwao"

Kalemani pamoja na na mengineyo alikuwa ana sauti ya kusukuma mambo(vocal) kulinganisha na makamba ambaye Yuko kidiplomasia mno.

He is too diplomatic to run the ministry that requires aggressiveness.

Kwa maoni yangu naanza kuona jinsi ambavyo umeme wa REA utafungwa kwa rushwa kali, naona wafanyakazi Tanesco wakirelax vya kutosha, naanza kuona mgawo wa umeme na kukatikakatika kwa umeme achilia mbali kupungua kwa Kasi ya kusambaza umeme.

Naogopa maana Makamba kama presidency dreamer will want to sound politically correct je kwa asili ya wizara ya nishati na hasa umeme ataweza?

Nikiri sijui Matogoro Kalemani atakuwa la fail wapi lakini ukweli tutamiss nguvu yake ya kusukuma mambo ambayo kweli siioni kwa Makamba, vinginevyo aazime traits za Kalemani.

Will miss you kalemani.
Huyu dogo licha ya kuwa mtata hafai hata kuaminiwa kusimamia choo achia mbali wizara. Nadhani nyuma yake kuna Makamba baba na Njaa Kaya Kiwete
 
Nikiri mwanzoni kabisa mwa andiko langu kwamba sifurahii na Wala siuzuniki Kwa mabadiliko chanya au hasi ya baraza la mawaziri au chochote katika nchi hii.

Na sababu ni kwamba Mimi ni muumini wa mambo makubwa ya kimfumo kama vile katiba inayoendana na Hali ya Sasa ya nchi na dunia kwa ujumla.

Kushughulikia mambo madogo madogo kama uteuzi wa watu kila mara ni dalili za watu wanaoshughilikia mambo madogo.

Na kifalsafa, kushughulikia city vidogo vidogo vidogo kunakufanya kuwa mdogo " dealing with small things definitely makes you small.

Hata hivyo ukiacha Hilo, kama mwananchi wa nchi hii, observation yangu kwenye reshufle ya cabinet imenipa kusema maana hata kama sishabikii wala kuuzunika," mchuma janga hula na wa kwao"

Kalemani pamoja na na mengineyo alikuwa ana sauti ya kusukuma mambo(vocal) kulinganisha na makamba ambaye Yuko kidiplomasia mno.

He is too diplomatic to run the ministry that requires aggressiveness.

Kwa maoni yangu naanza kuona jinsi ambavyo umeme wa REA utafungwa kwa rushwa kali, naona wafanyakazi Tanesco wakirelax vya kutosha, naanza kuona mgawo wa umeme na kukatikakatika kwa umeme achilia mbali kupungua kwa Kasi ya kusambaza umeme.

Naogopa maana Makamba kama presidency dreamer will want to sound politically correct je kwa asili ya wizara ya nishati na hasa umeme ataweza?

Nikiri sijui Matogoro Kalemani atakuwa la fail wapi lakini ukweli tutamiss nguvu yake ya kusukuma mambo ambayo kweli siioni kwa Makamba, vinginevyo aazime traits za Kalemani.

Will miss you kalemani.
Sasa kabisa umeDeclare kwamba "hufurahii au huuzuniki kwa mabadiliko yoyote"
Itoshe tu kusema wewe sio mzalendo.
Huna mapenzi na Nchi yako.

Mengine yako sijayasoma.
 
Back
Top Bottom