Naiona TAKUKURU yenye kasi na viwango!

njeeseka

JF-Expert Member
Oct 19, 2012
1,371
976
Jicho langu la tatu na la nne limeona mbali. Taasisi hii imeshika kasi na meno yake yanauma hasaa.

Kuanzia ishu ya bandari hadi IPTL kweli mimi binafsi ninaridhika kiasi woga wa rushwa utaongezeka. Sijajua kasi hii ni kwa sababu na show za Mhe. Magufuli au ni Utendaji wa Boss aliyepo sasa.

Hata hivyo naweza kusema Boss ameonyesha tofauti kubwa na aliyepita. Ni wakati sasa tusaidie kuchangia maeneo ya kuchungulia zaidi ambako rushwa imezidi.

Naanza na Ardhi..mmmh, tutaje maeneo mengine.
 
IMG_20170619_162453_301.JPG
 
Hivi mahakama ya mafisadi Iko kisutu au
maana hao nao nasikia wamepelekwa kisutu
kabla ya kupelekwa kwenye mahakama ya mafisadi.
 
Kisutu then mahakama ya mafisadi
 

Attachments

  • VID-20170619-WA0007.mp4
    6.4 MB · Views: 23
Back
Top Bottom