ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,531
- 44,641
Kweli jamani huu ndo ukweli naona Sasa keki ya taifa inaenda kugawiwa kwa wote watanzania wafaidi rasilimali zao.jamani kazeni kamba fursa zipo kibao wanangu we angalia ubunifu wako tu na Kuwa makini na mahesabu fanya kile ambacho hakifanyiki kwa mwingine Ni yaani tembea juu ya viwango vyako kikupe HELA.kaa kijanja