Naiona morali ya watumishi wa umma ikipungua

K M S

JF-Expert Member
Dec 18, 2016
524
424
Jana waziri mkuu akiwa ziarani kigamboni kaimu mkuu wa mkoa Ali Hapy alimchomekea kuhusu posho watumish inayotumika vikao kwa kununu a vitafunwa na chai na kuamuru zifutwe nimeskia leo magazetini na posho za mazingira magumu zimefutwa binafs naona kama huku nikupunguza morali kwa wafanyakazi haswa walioko ktk mazingira magumu
 
Jana waziri mkuu akiwa ziarani kigamboni kaimu mkuu wa mkoa Ali Hapy alimchomekea kuhusu posho watumish inayotumika vikao kwa kununu a vitafunwa na chai na kuamuru zifutwe nimeskia leo magazetini na posho za mazingira magumu zimefutwa binafs naona kama huku nikupunguza morali kwa wafanyakazi haswa walioko ktk mazingira magumu
Waache kazi. Who cares. Kama kusoma wengi tumesoma tena vizuri, tuko mitaani hatuna kazi. Watupishe. Unapata mshahara. Allowance/posho za nini? Serikali ifute kabisa mambo ya posho. Ni wizi mtupu.
 
Mwaka juzi nilikua na kazi fulani hivi ambayo ilinipasa kuzungukia vituo vingi sana vya afya ambapo kila Wilaya nilitembelea vituo vya afya vitatu, ilikua mambo ya huduma za UKIMWI lakini nilishangazwa na observation mojawapo kuwa eti kuna watu wana wategea wenzao kufanya kazi kisa wao kial semina na kila posho za ukimwi wanapewa wao tu, kwahio akija mgonjwa hawawezi kumpa huduam hadi wahusika wawepo, nikashangaa sana hivi posho ya shi.60,000 inawezaje kujenga chuki kiasi hiki?

Pale NIT ambapo wameondolewa hadi chai ya saa nne sijui wataishije sasa hivi, wataishi zaidi ya mashetani nadhani. Walimu hawana pesa, Wafanyakazi (supporting staff) hawana pesa, Wanafunzi hawana hata senti wanaishia kujiuza. Dah
 
Jana waziri mkuu akiwa ziarani kigamboni kaimu mkuu wa mkoa Ali Hapy alimchomekea kuhusu posho watumish inayotumika vikao kwa kununu a vitafunwa na chai na kuamuru zifutwe nimeskia leo magazetini na posho za mazingira magumu zimefutwa binafs naona kama huku nikupunguza morali kwa wafanyakazi haswa walioko ktk mazingira magumu


Kwani ilishawahi kuongezeka hadi ipungue?
 
Waache kazi. Who cares. Kama kusoma wengi tumesoma tena vizuri, tuko mitaani hatuna kazi. Watupishe. Unapata mshahara. Allowance/posho za nini? Serikali ifute kabisa mambo ya posho. Ni wizi mtupu.
Pamoja namshahara wanaopata kutiwa moyo jambo la muhimu kumbuka wanatofautiana mazingira tunayofanyia kazi haswa kwa wale wavijijini mazingira yao nimagumu
 
Waache kazi. Who cares. Kama kusoma wengi tumesoma tena vizuri, tuko mitaani hatuna kazi. Watupishe. Unapata mshahara. Allowance/posho za nini? Serikali ifute kabisa mambo ya posho. Ni wizi mtupu.
Unaonyesha unahasira sana kwa kukosa kazi,hofu yangu kwa roho uliyonayo sidhani kama hiyo kazi utaipata mapema kwasababu unaonekana una roho ya husda na ni mbaya labda umtumie mungu wa duniani hapo utapata ila kwa Mungu wa mbinguni na roho yako hiyo utakawia sana.
 
Hivi hizo posho zilikuwa zinaenda kwa nani? hivyo vitafunwa sijui vitafunio nani alikuwa anapewa? Mie ni mtumishi wa umma mbona sionagi hayo? Kama zilikuwepo basi ni kwa wakulu tu, kwa hiyo moral itakayoshuka ni ya kwao sio sisi watumishi wa kati ambao hatuzijui hizo posho
 
Bado ipo juu sana, kazini wanawahi, mishahara imeongezwa na kulipwa kwa wakati, ajira zimefumuka n.k. Ndiyo maana sisi TUCTA tupo kimya hatupati malalamiko toka kwa wanachama wetu.
Acha ulongo huo! Wamekaa kimya kwasababu wanaogopa kumjaribu Mzee wa sijaribiwi.Wanamaumivu yasiyo elezeka na siku hasira ikija kuchachamaa kitakacho fumuka ni mauti.Tusubiri mda ndio utakao ongea.
 
Morali ilishaisha tokea JPM alivopunguza kodi toka 11% hadi 09% Mei Mosi mwaka Jana Watumishi wasiolewa Wakafurahia kumbe Ile Asilimia 09% ilikua inawahusu watumishi wanaolipwa kima cha Chini yani 170000/= Ambao kimsingi ni km hakuna Mtumishi anaelipwa Laki na Sabini So Watumishi wakapoteza Haki yao ya Ongezeko la Kila Mwaka ambalo lipo kisheria....Ya kaja Madara yani Promotion Watu Mpaka Leo hawajawahi Pandishwa Madaraja na Mwaka huu wapo wanaopaswa kupandishwa pia.....Kimsingi Watumishi wa Umma wanajuta huu Utawala yani haufikirii kabisa maslahi ya Watumishi wakiuliza utasikia eti Uhakiki bado unaendelea....Mweh Ngajocha mie
 
Acha ulongo huo! Wamekaa kimya kwasababu wanaogopa kumjaribu Mzee wa sijaribiwi.Wanamaumivu yasiyo elezeka na siku hasira ikija kuchachamaa kitakacho fumuka ni mauti.Tusubiri mda ndio utakao ongea.

Mkuu hata sisi TUCTA tunaogopa kutumbuliwa na nani kwa mfano?
 
Hivi hizo posho zilikuwa zinaenda kwa nani? hivyo vitafunwa sijui vitafunio nani alikuwa anapewa? Mie ni mtumishi wa umma mbona sionagi hayo? Kama zilikuwepo basi ni kwa wakulu tu, kwa hiyo moral itakayoshuka ni ya kwao sio sisi watumishi wa kati ambao hatuzijui hizo posho
Nilikuwa napitia komenti hapa ili nami nikomenti, nashukuru point yangu umeongelea. Mimi ni mtumishi wa umma sijawahi pata hiyo makitu na kazi nachapa kama kawaida.

Ngoja nao waexperiencevmagumu yetu ili siku moja tuwe na one voice. Hapa divide and rule ilikuwa inaappy...sasa hivi ni unite them and evaluate.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom