Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Kuna mtu alisema kufikia 2020 atakuwa ameua upinzani akapora chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kisha akafa yeye badala ya upinzani. Akafyatua risasi kumuua mpinzani lakini akafa yeye. Mipango ya Mungu si mipango ya binadamu. Hata huyo delila anayemtesa mpinzani kwa kesi za kubambika atapita kama upepo. Mwenye masikio na asikie. Time'll tell!
Ni siku zaidi ya 20 ambayo Mwenyekiti wa CHADEMA yupo jela bila kuonesha actions za maana
1. Nimeshangaa sana Godbless Lema anamlaumu Bob Wine wa Uganda kutolaumu serikali ya Samia kwa sakata la Mbowe nimejiuliza maswali mengi sana are we serious?
2. Press ya awali ya Mnyika ilinipa picha kwamba hakuna matumaini yeyote juu ya mipango wanayosema
3. Sasa hivi ndani ya Chama wamegawanyika sana!
4. Lissu anogopa Kwenda Tanzania kuhamasisha mabadiliko on ground anaishia kumtuma bwana Godfrey Rwehumbiza wa Bangkok amuombee msamaha kwa Samia na kufutiwa mashtaka Yaan anajinasua mwenyewe tu!! Huyu Rwehumbiza Ana act kama Balozi wa Tanzania nchini Thailand anakaa Soi 7 Sukhumvit road Thonglou. Japo Tanzania tunapata Visa za Thailand kupitia Kenya ila Rwehumbiza ndio anafanya uwakilishi wa mambo kadhaaa
3. Vijana wa CHADEMA hawana kinachoendelea zaidi ya BAWACHA ndio wanafanya kazi kubwa!!! Wao wenyewe wanazungukana! Walikubaliana woote waliokamatwa Mwanza wasikubali dhamana ila John Pambalu baada ya kutishiwa na mtuhumiwa pale Central kwa kutoa uume wake na kumtisha kwamba njoo tulale akapiga kelele asubuhi Anaomba dhamana !
4. LISSU anabeza sana mawazo ya wengine aliona kwamba yeye mawazo yake ndio alpha na Omega Kuna matatizo
Britanicca