Naiona CHADEMA inayoelekea Kuzimu

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,478
2,301
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
Wataelekea wao CHADEMA itasimama
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
Dua la kuku
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
Pole unapoteza muda alafu unaandika pumba, hivi kwa akili yako nani anayoitaka ccm au mafisi zaidi ya kuwanunua,eti wamekosa pa kupumulia hivi wapi pana Uhuru wa mawazo,hivi kuna sehemu hatari kama ccm ulisema kumpinga mwenyekiti unashughulikiwa alafu unaleta pumba hapa
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
siyo bure unamakengeza
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
VIP hela za manunuzi bado zipo?
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"

Kwani Lowasa ndiye anayewarubuni na kuwanunua wabunge na madiwani? Je ni Lowasa anayetuma polisi kuwapiga mabomu wapinzani? Je ni Lowasa aliyewatuma wale magaidi waliotaka kumuua Lissu?
 
Chadema haiwez kufa, bali naiona ikiimarika zaidi kinyume na matarajio ya wanaccm.

Muda utasema.
 
jamani tunapoanza kuongeaa siasa kwa kutazama mtu mmoja moja....hapo ndipo nashindwa kuelewa Mnaposema Lowasa,lowasa,lowasa, ndiyo chanzo cha haya yanayotokea .....Mna uhakika gani kuwa asingekuwepo lowasa haya yasingetokea?Au angekuwepo lowasa katiba ingemzuia mtu kuhama chama na kwenda chama anachokipenda kwa muda huo.....Kama ndio wimbo wa lowasa ,lowasa,lowasa, vip tukisema chama hicho nacho kina madudu tumshukuru mungu kupata Magufuri ambaye anakibeba chama bila yeye tungekuwa tumemaliza kufanya Matanga:D:D;););) hapa ndipo watu wanakuja juu na kubisha eti hooo sera za chama ndizo zinafanya hali iwe nzuli dhubutu .kwani hizo hazikuwepo miaka yote ..ahhh watu wananikera mimi.....o_Oo_Oo_Oo_Omtanikuta kwenye korasi hayaa twende woote tuimbe CCM ni ile ile ohoo ni ile ile
 
Mnaongozwa na wasio na akili na wasioweza kufikiri zaidi ya mihemuko yao. Watanunuliwa watu wasiofika hata 1000 (ambao ni wachumia tumbo tu, wangeweza kwenda popote kwenye utamu) na kujipa kichwa kwa takwimu hovyo za TWAWEZA. Pesa za kuwanunua wale milioni 6+ walioutaka upinzani 2015 na wengineo wanaoendelea kutimiza sifa za kupiga kura kila uchao watakuwa nazo?
 
Kutokana na yanayotokea Chadema ni wazi kuwa inaelekea kuzimu. Ukisoma mandiko ya Malisa GJ na Yericko Nyerere makada wa Chadema huko facebook, utagundua kuwa kuna wanachadema wengi hawakuridhika na ujio wa Lowasa ndani ya chama japo wanajikaza kisabuni hawana mahali pa kutema hiyo nyongo.

NINI KINATOKEA SASA?
Si kwamba wanaohama (kwa rushwa kama inavyosemakana) wanapenda sana rushwa (kama inavyodaiwa), La hasha ila yawezekana ni kwasababu wamepata mahali pa kupumulia kutokana na nyongo waliyoibeba vifuani mwao kwa kipindi hiki chote. Pia yawezekana wapo wengi wanatamani kutoka ila bado wanapima upepo.

Ni wakati muafaka wa Chadema kujiuliza sasa tena bila kuona aibu "JE, LOWASA ALIKUWA ASSET AU LIABILITY?"
Ukisinzia na kuota kwenye daladala utajikuta unajamba.

Acha kuota ndoto za mchana.
 
Mnaongozwa na wasio na akili na wasioweza kufikiri zaidi ya mihemuko yao. Watanunuliwa watu wasiofika hata 1000 (ambao ni wachumia tumbo tu, wangeweza kwenda popote kwenye utamu) na kujipa kichwa kwa takwimu hovyo za TWAWEZA. Pesa za kuwanunua wale milioni 6+ walioutaka upinzani 2015 na wengineo wanaoendelea kutimiza sifa za kupiga kura kila uchao watakuwa nazo?

mkuu unajiuliza au unamuuliza mtu??
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom