Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Ni ukweli usio na shaka kwamba kuondoka kwa Nyalandu ni pigo ndani ya CCM. Style yake ya ghafla sana imewashtua wengi, na ni style nzuri sana kisiasa kwa sababu unakuwa huwapi nafasi unaowaacha kukuandalia skendo n kukufukuza.
Uwepo wa MESSI, SUAREZ na INIESTA pale Barca, na njaa yao ya kusaka ushindi, naufananisha na combination ya Lowassa, Mbowe na Lissu. Usajili wa UMTITI, ndo sawa na usajili mpya wa leo wa Lazaro Nyalandu.
Akiongezeka Zitto Kabwe pale Chadema, itarudi ile combination hatari ya MESSI, SUAREZ, INIESTA na NEYMAR. Yan itakuwa kama Neymar karudi Barca vile...!!!
Tutegemee makubwa 2020. Hata kama CCM itashinda tena, basi goli la mkono litahusika.
Uwepo wa MESSI, SUAREZ na INIESTA pale Barca, na njaa yao ya kusaka ushindi, naufananisha na combination ya Lowassa, Mbowe na Lissu. Usajili wa UMTITI, ndo sawa na usajili mpya wa leo wa Lazaro Nyalandu.
Akiongezeka Zitto Kabwe pale Chadema, itarudi ile combination hatari ya MESSI, SUAREZ, INIESTA na NEYMAR. Yan itakuwa kama Neymar karudi Barca vile...!!!
Tutegemee makubwa 2020. Hata kama CCM itashinda tena, basi goli la mkono litahusika.