Naiona CCM ikimeguka vipande viwili: Wanachama wanasubiri tamko tu kutoka upande wa pili

Mtini

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
1,487
2,344
Wanaccm wengi wanahisi kama chama chao kimehodhiwa na kikundi cha watu wachache hivyo kuwanyima wengi fulsa za kuonekana, kujijenga au kusikika. Kutokana na hali inavyoendelea chamani kundi kubwa la wanachama wasiokubaliana na yanayotendeka wameamua kukaa kimya wasijue la kufanya. Kwasasa ni kama wanasubiri tamko la viongozi wakubwa wasioridhishwa na mambo waseme kitu ndipo wao nao waunge mkono au kuandamana nao. Mbaya sana hata hao wakubwa inaonyeshwa wamefunikwa gubigubi na blanketi la uoga.

Nani wa kuiokoa CCM hii isipasuke vipande vipande?
 
2017-04-08_21.03.53.jpg
 
Back
Top Bottom