Nashindwa kuelewa huu uungaji mkono kutoka Kwa wapinzani kuunga juhudi za Chama tawala katika kulisuka Taifa letu na kuelekea Taifa lenye usawa na maendeleo ya kweli.
Nashindwa kuelewa kama kweli tuna upinzani uliodhamiria kuondoa Uonevu Kwa watumishi wa Umma ambapo wao kama upinzani walikuwa wanapigia kelele Jambo hili miaka mingi SASA!
Nashindwa kabisa kuelewa mwelekeo wa upinzani katika nchi hii, kushindwa kusimama Kwenye msimamo wao kwamba, CCM ndio sumu ya maendeleo na kwamba, kama Bado Taifa letu litakuwa likiongozwa na CCM, hatuwezi kufikia maendeleo ya kweli, na hivyo kupelekea CCM kuitwa ni kirusi katika Taifa letu.
Nashindwa kabisa kuelewa, kama kweli wapinzani huwa wanajielewa, na Je huwa wanatuona Sisi Watanzania ni mazezeta sanaaa au ni kiti gani!
Au shida ya upinzani ni CCM ispokuwa na viongozi wabovu na swala la upinzani ndio basi tena? Najiuliza sipati jibu.
Nashindwa kabisa kuuelewa upinzani wa nchi hii, na either, akili yangu Leo imenituma kufikiri, hawa watu ni masikini Sana na kinachokuwa kinawaliza Liza ni zile furusa za upigaji zinapokuwa zimebanwa kisawasawa ndio wanazidisha kelele!
CCM ni Chama moja matata Sana, ni Chama kinachokaa na Kusoma mazingira ya washindani wao yakoje Kwa Wakati huo, ni Chama ambacho kina viongozi wa kila aina, viongozi ambao wako CCM, wenye mlengo kama za kina Mwl JKN bado wako , wenye mlengo wa kina JK wapo kule, na wenye mwelekeo wa JPM Hayati wapo.
Katika kipindi cha uongozi kilichopita, CCM ilikuwa ikiongozwa na mtu asiyechekacheka na walilia maslahi na majambazi katika nchi hii, ingawa nimegundua pia kwamba, nchi hii wengi wa watu wamepinda tena sio kidogo, licha ya kuwa na kiongozi mkali lakini Bado majizi yaliiba tu.
Tukirudi katika ishu ya upinzani, Kwa namna upinzani ulivyogeuka na kuunga mkono juhudi Kwa haraka hivi bila hata ya kujiridhisha Kwa Yale wayatakayo yatafanyiwa kazi ama la, kumedhihirisha kabisa hawa jamaa ni wasaka tonge tu kama alivyokuwa mkurugenzi wa TPA, ni majambazi Tu na hayatakiwi kuchekewa chekewa tena. Ni upinzani wa hovyo Sana, Je wanajua kweli wanachokuwa wanakisimamia?
Hivi niwaulize swali, ni kitu kipi kinachowafanya wapinzani waunge mkono juhudi za Sasa Ndani ya CCM kama sio kujipendekeza ili maslahi Yao yasibanwe zaidi.
Naishia kusema, Wapinzani sio wa kuwapa nchi hata kidogo, tutapigwa haijawahi kutokea!
Nashindwa kuelewa kama kweli tuna upinzani uliodhamiria kuondoa Uonevu Kwa watumishi wa Umma ambapo wao kama upinzani walikuwa wanapigia kelele Jambo hili miaka mingi SASA!
Nashindwa kabisa kuelewa mwelekeo wa upinzani katika nchi hii, kushindwa kusimama Kwenye msimamo wao kwamba, CCM ndio sumu ya maendeleo na kwamba, kama Bado Taifa letu litakuwa likiongozwa na CCM, hatuwezi kufikia maendeleo ya kweli, na hivyo kupelekea CCM kuitwa ni kirusi katika Taifa letu.
Nashindwa kabisa kuelewa, kama kweli wapinzani huwa wanajielewa, na Je huwa wanatuona Sisi Watanzania ni mazezeta sanaaa au ni kiti gani!
Au shida ya upinzani ni CCM ispokuwa na viongozi wabovu na swala la upinzani ndio basi tena? Najiuliza sipati jibu.
Nashindwa kabisa kuuelewa upinzani wa nchi hii, na either, akili yangu Leo imenituma kufikiri, hawa watu ni masikini Sana na kinachokuwa kinawaliza Liza ni zile furusa za upigaji zinapokuwa zimebanwa kisawasawa ndio wanazidisha kelele!
CCM ni Chama moja matata Sana, ni Chama kinachokaa na Kusoma mazingira ya washindani wao yakoje Kwa Wakati huo, ni Chama ambacho kina viongozi wa kila aina, viongozi ambao wako CCM, wenye mlengo kama za kina Mwl JKN bado wako , wenye mlengo wa kina JK wapo kule, na wenye mwelekeo wa JPM Hayati wapo.
Katika kipindi cha uongozi kilichopita, CCM ilikuwa ikiongozwa na mtu asiyechekacheka na walilia maslahi na majambazi katika nchi hii, ingawa nimegundua pia kwamba, nchi hii wengi wa watu wamepinda tena sio kidogo, licha ya kuwa na kiongozi mkali lakini Bado majizi yaliiba tu.
Tukirudi katika ishu ya upinzani, Kwa namna upinzani ulivyogeuka na kuunga mkono juhudi Kwa haraka hivi bila hata ya kujiridhisha Kwa Yale wayatakayo yatafanyiwa kazi ama la, kumedhihirisha kabisa hawa jamaa ni wasaka tonge tu kama alivyokuwa mkurugenzi wa TPA, ni majambazi Tu na hayatakiwi kuchekewa chekewa tena. Ni upinzani wa hovyo Sana, Je wanajua kweli wanachokuwa wanakisimamia?
Hivi niwaulize swali, ni kitu kipi kinachowafanya wapinzani waunge mkono juhudi za Sasa Ndani ya CCM kama sio kujipendekeza ili maslahi Yao yasibanwe zaidi.
Naishia kusema, Wapinzani sio wa kuwapa nchi hata kidogo, tutapigwa haijawahi kutokea!