Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

Dada yangu nipitishie, mm nimeshavuna, bado eneo moja nitaenda May mwishoni, eka 15 za mwanzo nimepatwa gunia 18 nyingine imebaki shambani wataivuna baadae
Walichoniudhi wananishauri niiuze kila gunia 90,000/ na kuna walanguzi kibao wanasarandia
Ila imenikata NI wastani wa gunia moja na nusu kwa eka, pia upepetaji mbaya, wamedondosha Sana Alizeti ambapo huenda nilipoondoka waliirudia
Ukweli ndio huo nimepigwa ngoja nisikie wenzangu km wanapaita guni 18 kwa eka HICHO NDIO NAKATAA
Mpaka sasa sijajua hilo gunia ni debe ngapi mweeh😥
 
Ardhi inayofaa alizet ni ipi mm nachanganyikiwa wengine anasema dongo nyekundu sio nzuri wengine anasema mfinyanzi sio nzuri wajuzi tuelimishane
 
Wakuu naombeni tathmini ya mbegu zilizotolewa na serikali binafsi nimeiona changamoto.
 
Nipo very interested na hii kitu mnayo izungumzia huku na isitoshe mimi ni makazi wa hayo maeneo panaitwa NDAGO
 
Nipo very interested na hii kitu mnayo izungumzia huku na isitoshe mimi ni makazi wa hayo maeneo panaitwa NDAGO
Mayu mbona hujarudi kuwaelewesha hawa watu,
hebu waepushe na hasara watakayoipata
KILIMO CHA ALIZETI kinakata jamani mpaka leo namjavuna
tunataka mahesabu ya kilimo hicho
 
Nipo very interested na hii kitu mnayo izungumzia huku na isitoshe mimi ni makazi wa hayo maeneo panaitwa NDAGO
Mayu mbona hujarudi kuwaelewesha hawa watu,
hebu waepushe na hasara watakayoipata
KILIMO CHA ALIZETI kinakata jamani mpaka leo namjavuna
tunataka mahesabu ya kilimo hicho
 
Mayu mbona hujarudi kuwaelewesha hawa watu,
hebu waepushe na hasara watakayoipata
KILIMO CHA ALIZETI kinakata jamani mpaka leo namjavuna
tunataka mahesabu ya kilimo hicho
Wakalime wataelewa tu ukitaka kuujua utamu wa ngoma ingia kati isakate
 
Wakalime wataelewa tu ukitaka kuujua utamu wa ngoma ingia kati isakate
ni dhambi kubwa kuwaingiza wenzako MKENGE
toka mwanzo tuliwatahadharisha member kuwa Alizeti inawakata wakulima jamani, kwenye matikiti maji (water lemon) tuliwaambia vivi hivi.
 
Nimejitahid nimenunua gunia 64 za alizeti lakn shambani kwangu heka 2 nimepata roba 5.

Kilimo Uti wa mgongo
 
Back
Top Bottom