Naingia kwenye kufuga kuku chotara (Saso)

Mrejesho 2

Siku ya Nane niliwapa maji yenye mchanganyiko na vitamins kwa siku nzima

Then siku ya Tisa hadi ya Kumi na mbili niliwapo Amprolium 20% kwa ajili ya Coccidiosis maana huwa wanakula kinyesi chao ivyo nilazima niwepe dawa ili kuepusha vifo

Siku ya Kumi na tatu niliwapa maji bila kuchanganya na kitu chochote kile

Siku ya Kumi na nne ambayo ni Leo niliwapa chanjo ya Gumboro

Kuhusu eneo saiv nimeongezea ili wapate nafasi ya kucheza ili mifupa ikae sawa

Mafanikio

Saiv ukuwaji wao upo kwa kiasi Cha juu maana kila siku naona mabadiliko

Asilimia 100 saiv wameota manyoya ivyo naweza kutofautisha yupi jogoo na yupi tetea

Saiv siwashi tena moto mchana ivyo ni usiku tuu


Changamoto

Siku ya Nane walianza kuumwa na ugonjwa wa Coccidiosis ivyo sikuweza kuwapa dawa maana nilikuwa tayali nimewapa maji yenye vitamin ( vitamin C huwa vinazuia ufanyaji kazi wa Amprolium ivyo kama ningewapa isingeweza kufanya kazi) kwaiyo vifaranga 2 walikufa

Siku ya Kumi vifaranga 5 walikuwa awawezi kutembea ivyo ilinibid kuwapa maji yenye mchanganyiko wa chumvi, DCP, Mifupa na Chokaa kwa siku moja then siku ya Kumi na mbili waliaanza kutembea vizuri

Mrejesho 3 nitaleta week ijayo siku kama ya Leo
 
Mrejesho 2

Siku ya Nane niliwapa maji yenye mchanganyiko na vitamins kwa siku nzima

Then siku ya Tisa hadi ya Kumi na mbili niliwapo Amprolium 20% kwa ajili ya Coccidiosis maana huwa wanakula kinyesi chao ivyo nilazima niwepe dawa ili kuepusha vifo

Siku ya Kumi na tatu niliwapa maji bila kuchanganya na kitu chochote kile

Siku ya Kumi na nne ambayo ni Leo niliwapa chanjo ya Gumboro

Kuhusu eneo saiv nimeongezea ili wapate nafasi ya kucheza ili mifupa ikae sawa

Mafanikio

Saiv ukuwaji wao upo kwa kiasi Cha juu maana kila siku naona mabadiliko

Asilimia 100 saiv wameota manyoya ivyo naweza kutofautisha yupi jogoo na yupi tetea

Saiv siwashi tena moto mchana ivyo ni usiku tuu


Changamoto

Siku ya Nane walianza kuumwa na ugonjwa wa Coccidiosis ivyo sikuweza kuwapa dawa maana nilikuwa tayali nimewapa maji yenye vitamin ( vitamin C huwa vinazuia ufanyaji kazi wa Amprolium ivyo kama ningewapa isingeweza kufanya kazi) kwaiyo vifaranga 2 walikufa

Siku ya Kumi vifaranga 5 walikuwa awawezi kutembea ivyo ilinibid kuwapa maji yenye mchanganyiko wa chumvi, DCP, Mifupa na Chokaa kwa siku moja then siku ya Kumi na mbili waliaanza kutembea vizuri

Mrejesho 3 nitaleta week ijayo siku kama ya Leo
Vifaranga wakiota mabawa, unajuaje yupi ni Jogoo?! Yupi ni Tetea?
 
kedekede?
Unaweza fuga kuku wa mayai (layers) nakuwawekea majogoo wa kienyeji na wakataga vizuri tuu na kuweza kutotolesha ila uwe mpole angalau ule mwezi wa kwanza wakutaga ule mayai tuu halafu ukiwa umejiridhisha majogoo wamefanya kazi yao ndio hapo utapata mayai yenye mbegu
 
Unaweza fuga kuku wa mayai (layers) nakuwawekea majogoo wa kienyeji na wakataga vizuri tuu na kuweza kutotolesha ila uwe mpole angalau ule mwezi wa kwanza wakutaga ule mayai tuu halafu ukiwa umejiridhisha majogoo wamefanya kazi yao ndio hapo utapata mayai yenye mbegu
Mkuu iyo kitu usije kujalibu maana hao vifaranga watakuwa wazaifu sana bora jogoo awe wakisasa then tetea awe wa kienyeji lkn tofauti na apo uwezi pata kifaranga kitakacho kua
 
Vifaranga wakiota mabawa, unajuaje yupi ni Jogoo?! Yupi ni Tetea?
Tumia hili file
Screenshot_20211001-234134_WhatsApp.jpg
 
Mkuu iyo kitu usije kujalibu maana hao vifaranga watakuwa wazaifu sana bora jogoo awe wakisasa then tetea awe wa kienyeji lkn tofauti na apo uwezi pata kifaranga kitakacho kua
Niliona doctor mmoja anasrma nakapata vifaranga vizuri tuu hata sikufatiliaga kama vilitoboa,mimi nafuga layers wakisasa na chotara Sijawahi kuchanganya mambo nachukua tuu kwenye makampuni
 
Karibu kwenye ufugaji mkuu. Tuko pamoja
Mrejesho 1

Tarehe 26/04/2022 nilichukua box mbili za vifaranga vya sasso kutoka makota Iringa kila box lilikuwa na vifaranga 102 ivyo ikafanya idadi na kuwa 204

Maandalizi ni kama yafuatayo

1 Chakula (Nilitengeneza mm mwenyewe kama ifuatavyo)

starter inabid iwe na 20-18 % ya Digestible Crude Protein ( DCP) ili kufanya kifaranga kiote manyoya haraka ili kujikinga na baridi, Chakula hichi watakula kwa miezi miwili then nitabadilisha mfumo wa kuchanganya


Mahindi yalio balazwa 65 Kg
Mashudu yalio balazwa 22 kg
Uduvi ule mdogo wa langi ya red-silver 8 kg
Diphosphate calcium (DCP) 1 kg
Chokaa ya kuku 2.50 kg
Mifupa 1 kg
Chumvi ya jikon 500 g

Nilitengeneza 100 kg Kwa awamu ya kwanza lengo la kufanya ivyo ili chakula kisikae muda mlefu kikawa na Sumukuvu maana huwa inasababisha kuku kufa

Ili kupata Mahindi na mashudu yalio balazwa inabidi uende mashineni wanapo saga unga wa ugali then unamwambia yule operator atoe ile chekeche kwenye machine ya kusagia then akipitisha ayo Mahindi zinatokea chenga chenga ambazo kifaranga kitaweza kula vizuri

2 Jiko
Nilinunuwa Yale majiko special kwa ajili ya vifaranga yapo kama chungu ivi lkn kina matundu pembeni na mfuniko juu
Ivyo kama moto ukiwaka tayali nafunika juu na ule mfuniko ivyo joto linaweza kudumu kwa muda wa masaa 5-6 endapo ukifunika lkn ukiacha wazi 2-3 masaa tayali joto linapotea

3 Sehemu vifaranga vinapo shinda
Nilinunuwa magazeti kilo 3 na board moja, mbao ya 2 by 4 na mapumba ya mpunga ( rice husk )

Mapumba ya mpunga nilitandika chini ili kuzuia unyevu usipande juu na kunyonya maji endapo yakimwagika

Magazeti kwa ajili ya kutandika chini maana inabid utandike matabaka 3 ya magazeti then kila siku lile tabaka la juu unalitoa then unaweka lingine

Board kwa ajili ya kutengeneza round ili vifaranga wasife maana wanatabia ya kujikusanya kwenye Kona kwa pamoja ivyo ukutumia board sio lahisi kupata Kona

Mbao 2 by 4 izi ni kwa ajili ya kuunganisha board moja na nyingine ivyo nilizichana kidogo katikati ili kukutanisha board mbili na kutengeneza round

Eneo nililo tumia kwa hatua za mwanzo ni 1.5 m kwa 1.5 ili vifaranga wapate joto na muda mwingi watumie kula na kupumzika kuliko kutembea lkn baada ya week ya pili nitaongeza ukubwa wa eneo

4 Vyombo vya kulia
Nilinunuwa dinker 4 na feeder 6 Kwa awamu ya kwanza lkn kwa upande wa feeder natumia kile kisahani tuu

5 Mpangilio wa kimiminika ( Maji)

Ile siku nilio waleta ( hii siku sio siku ya kwanza maana siku inakuwa na masaa 24 ivyo inakuwa Zero day) niliwapa maji yenye mchanganyiko wa Glucose na Vitamin kwa masaa mawili kabla sija wapa chakula lengo la kufanya ivyo ni kuwapatia nguvu kutokana na uchovu wa safari na kufungua mfumo wa kumengenya chakula

Siku ya kwanza hadi ya Tano
Niliwapa maji yenye mchanganyiko wa Antibiotic lengo la kufanya ivyo nikukausha vitovu ili wasipate tatizo choo kuganda ( Constipation )

Siku ya sita ambayo ni Leo
Niliwapa maji ambayo ayana mchanganyiko wa kitu chochote kile

Siku ya Saba ambayo ni kesho
Nitawapa chakula then baada ya masaa manne nitawapa maji yenye mchanganyiko wa dawa ya kideli (Newcestle) kwa masaa mawili tuu then baada ya hapo nitawapa maji ya kawaida


Mafanikio

✓Hadi sasa akijafa ata kifaranga kimoja

✓Akuna kifaranga kilicho pata ulemavu

✓Asilimia 75 ya vifaranga mabawa Yao tayali yamefunikwa na manyoya ivyo inaonyesha chakula ni kizuri kwa hatua za mwanzo za ukuaji

✓Vifaranga vinakula sana mida ya asubuhi kuliko mchana ivyo inaonyesha afya Yao ni nzuri na mfumo wa umengenyaji umekaa vizuri

✓Akuna kifaranga aliye pata tatizo la choo kigumu


Changamoto

✓Kila baada ya masaa manne inabidi niwepo bandani ivyo inakuwa vigumu kufanya ivyo maana nakuwa nipo kwenye majukumu memgine kwaiyo inabid kila baada ya masaa sita ndio niwepo bandani

✓Kuamka usiku inakuwa ni tatizo maana sijazoea ivyo Kuna bahadhi ya siku huwa napitiliza hadi asubuhi

✓Vifaranga vinapendelea sana uduvi kuliko Mahindi na mashudu ivyo inabid nisubilie kwanza then ndio wanaanza kula Mahindi na mashudu


Mwisho

Mrejesho 2 nitauleta tena jumatatu ijayo Yani siku ya 13
View attachment 2208838View attachment 2208839View attachment 2208840
 
Karibu kwenye ufugaji mkuu. Tuko pamoja
Mkuu hongera sana kwa hatua uliyofikia, mimi pia ni mfugaji ila nafiga kienyeji tu kwa ajili ya kula ila nataka nifuge kitalamu zaidi.

Swali langu, ningependa unifafanulie je, naweza kuwafuga viraranga wakiwa juu ya wavu kwanzia day 1 ili kuepusha magaonjwa ama ni hadi wafike siku fulani ndo niwaamishie juu ya wavu? Manake naona hii njia ndo iko safe sana kwa kuzuia magomjwa.
 
Mrejesho 1

Tarehe 26/04/2022 nilichukua box mbili za vifaranga vya sasso kutoka makota Iringa kila box lilikuwa na vifaranga 102 ivyo ikafanya idadi na kuwa 204

Maandalizi ni kama yafuatayo

1 Chakula (Nilitengeneza mm mwenyewe kama ifuatavyo)

starter inabid iwe na 20-18 % ya Digestible Crude Protein ( DCP) ili kufanya kifaranga kiote manyoya haraka ili kujikinga na baridi, Chakula hichi watakula kwa miezi miwili then nitabadilisha mfumo wa kuchanganya


Mahindi yalio balazwa 65 Kg
Mashudu yalio balazwa 22 kg
Uduvi ule mdogo wa langi ya red-silver 8 kg
Diphosphate calcium (DCP) 1 kg
Chokaa ya kuku 2.50 kg
Mifupa 1 kg
Chumvi ya jikon 500 g

Nilitengeneza 100 kg Kwa awamu ya kwanza lengo la kufanya ivyo ili chakula kisikae muda mlefu kikawa na Sumukuvu maana huwa inasababisha kuku kufa

Ili kupata Mahindi na mashudu yalio balazwa inabidi uende mashineni wanapo saga unga wa ugali then unamwambia yule operator atoe ile chekeche kwenye machine ya kusagia then akipitisha ayo Mahindi zinatokea chenga chenga ambazo kifaranga kitaweza kula vizuri

2 Jiko
Nilinunuwa Yale majiko special kwa ajili ya vifaranga yapo kama chungu ivi lkn kina matundu pembeni na mfuniko juu
Ivyo kama moto ukiwaka tayali nafunika juu na ule mfuniko ivyo joto linaweza kudumu kwa muda wa masaa 5-6 endapo ukifunika lkn ukiacha wazi 2-3 masaa tayali joto linapotea

3 Sehemu vifaranga vinapo shinda
Nilinunuwa magazeti kilo 3 na board moja, mbao ya 2 by 4 na mapumba ya mpunga ( rice husk )

Mapumba ya mpunga nilitandika chini ili kuzuia unyevu usipande juu na kunyonya maji endapo yakimwagika

Magazeti kwa ajili ya kutandika chini maana inabid utandike matabaka 3 ya magazeti then kila siku lile tabaka la juu unalitoa then unaweka lingine

Board kwa ajili ya kutengeneza round ili vifaranga wasife maana wanatabia ya kujikusanya kwenye Kona kwa pamoja ivyo ukutumia board sio lahisi kupata Kona

Mbao 2 by 4 izi ni kwa ajili ya kuunganisha board moja na nyingine ivyo nilizichana kidogo katikati ili kukutanisha board mbili na kutengeneza round

Eneo nililo tumia kwa hatua za mwanzo ni 1.5 m kwa 1.5 ili vifaranga wapate joto na muda mwingi watumie kula na kupumzika kuliko kutembea lkn baada ya week ya pili nitaongeza ukubwa wa eneo

4 Vyombo vya kulia
Nilinunuwa dinker 4 na feeder 6 Kwa awamu ya kwanza lkn kwa upande wa feeder natumia kile kisahani tuu

5 Mpangilio wa kimiminika ( Maji)

Ile siku nilio waleta ( hii siku sio siku ya kwanza maana siku inakuwa na masaa 24 ivyo inakuwa Zero day) niliwapa maji yenye mchanganyiko wa Glucose na Vitamin kwa masaa mawili kabla sija wapa chakula lengo la kufanya ivyo ni kuwapatia nguvu kutokana na uchovu wa safari na kufungua mfumo wa kumengenya chakula

Siku ya kwanza hadi ya Tano
Niliwapa maji yenye mchanganyiko wa Antibiotic lengo la kufanya ivyo nikukausha vitovu ili wasipate tatizo choo kuganda ( Constipation )

Siku ya sita ambayo ni Leo
Niliwapa maji ambayo ayana mchanganyiko wa kitu chochote kile

Siku ya Saba ambayo ni kesho
Nitawapa chakula then baada ya masaa manne nitawapa maji yenye mchanganyiko wa dawa ya kideli (Newcestle) kwa masaa mawili tuu then baada ya hapo nitawapa maji ya kawaida


Mafanikio

✓Hadi sasa akijafa ata kifaranga kimoja

✓Akuna kifaranga kilicho pata ulemavu

✓Asilimia 75 ya vifaranga mabawa Yao tayali yamefunikwa na manyoya ivyo inaonyesha chakula ni kizuri kwa hatua za mwanzo za ukuaji

✓Vifaranga vinakula sana mida ya asubuhi kuliko mchana ivyo inaonyesha afya Yao ni nzuri na mfumo wa umengenyaji umekaa vizuri

✓Akuna kifaranga aliye pata tatizo la choo kigumu


Changamoto

✓Kila baada ya masaa manne inabidi niwepo bandani ivyo inakuwa vigumu kufanya ivyo maana nakuwa nipo kwenye majukumu memgine kwaiyo inabid kila baada ya masaa sita ndio niwepo bandani

✓Kuamka usiku inakuwa ni tatizo maana sijazoea ivyo Kuna bahadhi ya siku huwa napitiliza hadi asubuhi

✓Vifaranga vinapendelea sana uduvi kuliko Mahindi na mashudu ivyo inabid nisubilie kwanza then ndio wanaanza kula Mahindi na mashudu


Mwisho

Mrejesho 2 nitauleta tena jumatatu ijayo Yani siku ya 13
View attachment 2208838View attachment 2208839View attachment 2208840
Picha mkuu
 
S
Thanks boss, ni unazifahamu hizi mbili tu ? Kuna jamaa nliona sehemu alisema kuwa vifaranga wa kununua kutoka silverland wanapukutika sana.
asso uwe na banda zuri linye kupitisha hewa na uvilee kama mayai vikiwa wadogo kwa mtaokeo mazuri tumia chakula chao,wakipita mwezi wanakaa vizuri,sasso ni kwa ajili ya nyama na wala si watagaji sana sababu wanamaumbo makubwa,wahi kuchanja ndui kwa kuku yoyote utakayenunua if possible week ya tatu
 
S

asso uwe na banda zuri linye kupitisha hewa na uvilee kama mayai vikiwa wadogo kwa mtaokeo mazuri tumia chakula chao,wakipita mwezi wanakaa vizuri,sasso ni kwa ajili ya nyama na wala si watagaji sana sababu wanamaumbo makubwa,wahi kuchanja ndui kwa kuku yoyote utakayenunua if possible week ya tatu
Poa poa mkuu, but ndui si chanjo ya mwisho baada ya chanjo zote zile kuzirudia mara mbili ?
 
Poa poa mkuu, but ndui si chanjo ya mwisho baada ya chanjo zote zile kuzirudia mara mbili ?
Hakuna utaratibu maalumu wa utoaji wa chanjo mkuu, kuiweka chanjo ya pox mwisho ni utaratibu tu ambao uliwekwa kipindi ambacho ugonjwa wa Ndui haujawa pasua kichwa kama hivi sasa

Kwa sasa kumekuwa na mlipuko wa Ndui kuliko ata Mdondo, na ukisubiri hadi mwezi na week unaweza jikuta teyari vifaranga wako wamepata Ndui, ndomana hapo jamaa amekushauri uchanje ikiwezekana week ya 3

Kuna maeneo me nayajua siku hizi chanjo ya Ndui ndio inaanza na zingine zinafatia, hiyo yote imetokana na mlipuko wa Ndui kuenea Kwa kasi sana na kupelekea vifaranga wa week 1 tu wanapata Ndui

Kwahiyo we fatilia eneo lako Kwa wafugaji wengine kuhusu issue ya Ndui likoje, kama bado liko salama sawa, Kwa majibu utakayopata basi ndio utayatumia kwenye mpangilio wako wa Chanjo
 
Thank you for the lesson Boss🙏 nlikuwa sijui Hilo.
Hakuna utaratibu maalumu wa utoaji wa chanjo mkuu, kuiweka chanjo ya pox mwisho ni utaratibu tu ambao uliwekwa kipindi ambacho ugonjwa wa Ndui haujawa pasua kichwa kama hivi sasa

Kwa sasa kumekuwa na mlipuko wa Ndui kuliko ata Mdondo, na ukisubiri hadi mwezi na week unaweza jikuta teyari vifaranga wako wamepata Ndui, ndomana hapo jamaa amekushauri uchanje ikiwezekana week ya 3

Kuna maeneo me nayajua siku hizi chanjo ya Ndui ndio inaanza na zingine zinafatia, hiyo yote imetokana na mlipuko wa Ndui kuenea Kwa kasi sana na kupelekea vifaranga wa week 1 tu wanapata Ndui

Kwahiyo we fatilia eneo lako Kwa wafugaji wengine kuhusu issue ya Ndui likoje, kama bado liko salama sawa, Kwa majibu utakayopata basi ndio utayatumia kwenye mpangilio wako wa Chanjo
 
Back
Top Bottom