Naingia CHADEMA RASMI..JE NITAIPATAJE KADI YA UANACHAMA?

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Siamini Kinachotokea kwa upande wangu....nimekuwa CCM Kwa muda kidogo.Kuanzia wakati wa kampen 2010 nikaichukia CCM kabisa kabisa hali iliyopelekea kura yangu ya URAIS Nimpe DR SLAA Hali ya kuwa nilijua hatopata URAIS Kwa wakati ule KUTOKANA NA MFUMO MBOVU Wa MAGAMBA.KILICHONIUDHI ZAID NI KUONA KILA MTU MWENYE JUKUMU LA KUTUMIKIA NCHI HATHAMINI WANANCHI....SASA NAULIZA .... JE,ILI KUWA MWANACHADEMA NAHITAJIKA NIANDAE VITU GANI IKIWEMO NA GHARAMA?NILIPO NI KIJIJINI NA HAKUNA OFISI YOYOTE YA CHADEMA.KWA KUWA NIMEGUSWA NAHITAJI KUELEKEZWA UTARATIBU ILI NIANDAE SAFAR YANGU YA KWENDA MKOANI ILI NIKAPATE KADI YA UANACHAMA....ASANTENI
 
Kadi Sh.500 na ada kwa mwaka Sh.1,000. Unapochukua kadi utatakiwa kulipa jumla Sh.1,500 na kila mwaka uta-renew uanachama kwa hiyo Sh.1,000. Kwa mfano mwingine, ukilipa Sh.10,500 utakuwa umelipia miaka 10.
 
Kadi Sh.500 na ada kwa mwaka Sh.1,000. Unapochukua kadi utatakiwa kulipa jumla Sh.1,500 na kila mwaka uta-renew uanachama kwa hiyo Sh.1,000. Kwa mfano mwingine, ukilipa Sh.10,500 utakuwa umelipia miaka 10.


Swadakta kamanda.
Kwa kuongezea, andaa na picha mbili za passport size.
Muhimu zaidi, tufahamishe uko wapi hata ka ni kijini, wilaya gani?tukuelekeze mahali pa kujipatia kadi.
 
swadakta kamanda.
Kwa kuongezea, andaa na picha mbili za passport size.
Muhimu zaidi, tufahamishe uko wapi hata ka ni kijini, wilaya gani?tukuelekeze mahali pa kujipatia kadi.

nipo mkoani tabora....kwa sasa nipo shamba(kijijini) ndani sana panaitwa mwisole(uyui)...lakini nitarudi mjini mwisho wa mwezi huu.
 
kadi sh.500 na ada kwa mwaka sh.1,000. Unapochukua kadi utatakiwa kulipa jumla sh.1,500 na kila mwaka uta-renew uanachama kwa hiyo sh.1,000. Kwa mfano mwingine, ukilipa sh.10,500 utakuwa umelipia miaka 10.

nashukuru kwa mwanga.naapa sotorudi nyuma katika mapambano....
 
Swadakta kamanda.
Kwa kuongezea, andaa na picha mbili za passport size.
Muhimu zaidi, tufahamishe uko wapi hata ka ni kijini, wilaya gani?tukuelekeze mahali pa kujipatia kadi.

Na kwa Morogoro je hasa Morogoro mjini au Mvomero,nitapataje kadi wadau?
 
Back
Top Bottom