utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 214
- 7
Nimesikitiswa sana na matokeo ya uchaguzi wa majimbo ya Iramba yaliyompa KIKWETE NA WABUNGE WAKE ASILIA ZAidi ya themanini.Ni wazi katika wilaya ambayo serikal imeisahau ni Iramba ,ACHILIA MBALI BARABARA ILIYOJENGWA AMBAYO NI YA KITAIFA,LAKINI HALI YA UCHUMI NI MBAYA,WATU WANAKESHA WAKITAFUTA MAJI YA KUOGA LAKIN BADO WANAIPA CCM ASILIAMIA 80!Kunahitajika utafti kujua chanzo cha hali hii,pengine hao asilimia 50 ambao hawakupiga kura ndio wapinzani wa serikali !sasa wanampinga nani kwa kutopiga kura ,AFADHALI WENZENU WANYATURU WANA WABUBGE WAFADHILIdewj na nyalandu, NYINYI JE! Vijana wa iramba amkeni,kuanzaia likizo ijayo nitajitolea kutoa elimu ya uraia na kujitambua haiwezekani tukwawa tunashangilia mapinduzi mikoa ya wenzetu ! mashirika ya hiari nendeni Iramba,Tundu lisu watani zako tunakuangusha!