Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Pascal Mayalla, Pascal,
Cha ajabu ni kwamba Unajisahaulisha tatizo la Msingi ambalo ni Meko kutumia dola kuibana CHADEMA
Watu wanauawa (Alfonce Mawazo), watu wanapigwa Risasi (Lissu etc),haya yote umeyasahau,na bado CHADEMA ina survive.
Kama yote haya huyaoni basi utakuwa Kipofu
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Cha ajabu ni kwamba Unajisahaulisha tatizo la Msingi ambalo ni Meko kutumia dola kuibana CHADEMA
Watu wanauawa (Alfonce Mawazo), watu wanapigwa Risasi (Lissu etc),haya yote umeyasahau,na bado CHADEMA ina survive.
Kama yote haya huyaoni basi utakuwa Kipofu
Sent from my SM-A207F using Tapatalk