Naila Kiula aibuka - achagua kambi ya JK

Huyu ni ndugu yangu lakini ni ovyo kabisa. Ataibuka kwenda wapi? Huyu amezungukwa na utelezi kila kona, kila atakapojaribu kusimama ataanguka tu! Tena alipoteza nafasi muhimu sana. Mwinyi alimpa kila nafasi ili a-prove kwamba ana weza akashindwa, yeye apumzike tu. Ila nakubaliana naye sana kuhusu maoni yake kuhusu comments za warioba. Walichofanya akina Mwakyembe ndicho alichofanya Warioba kwenye kamati yake, alikuwa hana moral authority ya ku-criticise kamati ya Mwakyembe pamoja na mapungufu ya wazi yaliyopo.
Siku zote hukumu zenye maslahi ya kisiasa ndivyo zilivyo.
Poleni kwa kufiwa na ndugu yenu mkuu.
 
Huyu ni ndugu yangu lakini ni ovyo kabisa. Ataibuka kwenda wapi? Huyu amezungukwa na utelezi kila kona, kila atakapojaribu kusimama ataanguka tu! Tena alipoteza nafasi muhimu sana. Mwinyi alimpa kila nafasi ili a-prove kwamba ana weza akashindwa, yeye apumzike tu. Ila nakubaliana naye sana kuhusu maoni yake kuhusu comments za warioba. Walichofanya akina Mwakyembe ndicho alichofanya Warioba kwenye kamati yake, alikuwa hana moral authority ya ku-criticise kamati ya Mwakyembe pamoja na mapungufu ya wazi yaliyopo.
Kitila ,ukipewa nafasi Tena ya kumiongelea hiyu ndugu yako utathubutu!?😁😁😁
 
FMES: sisi watanzania tuna katatizo ka-kumbukumbu, na vilevile wengi wetu hatuwezi ku-pay attention kwenye details. Sasa huyu Warioba kaongea ka-sentesi kamoja cheaply ameshaonekana ni hero, agombee urais. Haya huyu naye Kiula ambaye alijifunza uzuri wa mapesa ukubwani hadi yeye na mke wake wakawa wanavunja magari ya serikali, kaongea kasentesi kamoja cheaply, tunaambiwa "kaibuka"!

Halafu nchi yetu ni nzuri sana, ukiwa na akili "nyingi kidogo" kama Warioba basi umeshakuwa unafaa kuwa Rais, yaani hakuna kazi inayowafaa watu wenye akili isipokuwa ya urais. Tuna kazi, tutakomboka lakini, polepole!
Enzi hizo jua sio Kali sana😂
 
Acha tu Kiongozi, ile JF ya wakati ule sijui kama itarejea!! Mbaya zaidi, hata ukija kwenye siasa, JF imegubikwa zaidi na ushabiki wa kisiasa kuliko objectivity!!
JF kama hii haiwezi kurejea kamwe!

Sababu ni ile uliyosema siku ile. Kipindi hili jukwaa la JF linaanzishwa ni watu wachache tu waliokuwa na access ya internet, kwa maana hiyo walikuwa ni wale tu waliofanikiwa kusoma hadi level ya juu kielimu ama wenye nyadhifa au wenye uwezo kiuchumi au watanzania walioko nchi za nje... Ndio maana wachangiaji ndio hawa akina Kitila Mkumbo, akina Prof Mkandara, akina Zitto na wengineo..

Kwa hiyo watu walikuwa wanajadili mambo kwa upeo wa juu mno kiasi kwamba watu muhimu na viongozi wa serikali walikuwa wanakuja kuchota maarifa na taarifa kutoka huku.

Kipindi fulani Facebook iliposhika chati members wengi wa facebook walikuwa wanaogopa kuja JF wakidai kwamba JF wanajidai ni wasomi.

Lakini sasa hawaogopi tena wameivamia kama nzige, ndio maana tunashuhudia topics za ajabu ajabu zisizokuwa na vichwa wala miguu, kiuno wala mgongo, tumbo hata kiwiliwili!!

Sasa kila mtu ana miliki simu yenye uwezo wa internet, shambaboy wangu na housegirl ni members wa JF, sitegemei hoja za msingi kutoka kwao, nataka niwadukue nijue wanatumia usernames gani..
 
Mama aulize vizuri maana tokea apewe u chief na kuitwa chief hangaya mafaili yanajichang'anya usikute jina linamatatizo, siyo kila kitu cha kupokea atiii!!
 
JF kama hii haiwezi kurejea kamwe!

Sababu ni ile uliyosema siku ile. Kipindi hili jukwaa la JF linaanzishwa ni watu wachache tu waliokuwa na access ya internet, kwa maana hiyo walikuwa ni wale tu waliofanikiwa kusoma hadi level ya juu kielimu ama wenye nyadhifa au wenye uwezo kiuchumi au watanzania walioko nchi za nje... Ndio maana wachangiaji ndio hawa akina Kitila Mkumbo, akina Prof Mkandara, akina Zitto na wengineo..

Kwa hiyo watu walikuwa wanajadili mambo kwa upeo wa juu mno kiasi kwamba watu muhimu na viongozi wa serikali walikuwa wanakuja kuchota maarifa na taarifa kutoka huku.

Kipindi fulani Facebook iliposhika chati members wengi wa facebook walikuwa wanaogopa kuja JF wakidai kwamba JF wanajidai ni wasomi.

Lakini sasa hawaogopi tena wameivamia kama nzige, ndio maana tunashuhudia topics za ajabu ajabu zisizokuwa na vichwa wala miguu, kiuno wala mgongo, tumbo hata kiwiliwili!!

Sasa kila mtu ana miliki simu yenye uwezo wa internet, shambaboy wangu na housegirl ni members wa JF, sitegemei hoja za msingi kutoka kwao, nataka niwadukue nijue wanatumia usernames gani..

..hoja yako ina ukweli fulani ndani yake.

..lakini kilichotokea kwa JF ni jambo la MAKUSUDI ambalo lilifanywa na CCM.

..kuelekea uchaguzi wa 2015 walimwaga vijana wao ktk jukwaa la siasa ili kuharibu mijadala, kutukana, na ku-frustrate wachangiaji makini walikuwepo.

..kwa hiyo JF imeporomoshwa na kundi la vijana wa CCM. Wachangiaji wengi makini wamekata tamaa hawachangii tena.
 
..hoja yako ina ukweli fulani ndani yake.

..lakini kilichotokea kwa JF ni jambo la MAKUSUDI ambalo lilifanywa na CCM.

..kuelekea uchaguzi wa 2015 walimwaga vijana wao ktk jukwaa la siasa ili kuharibu mijadala, kutukana, na ku-frustrate wachangiaji makini walikuwepo.

..kwa hiyo JF imeporomoshwa na kundi la vijana wa CCM. Wachangiaji wengi makini wamekata tamaa hawachangii tena.
I see uko sawa kabisa mkuu.

Huo ni mpango wa maksudi, I see CCM kwa mbinu hizi CCM wako vizuri, ndio maana saa hizi hata ukimuita Kitila hapo hawezi kuja kuchangia, anajua kuna wapuuzi tu wataanza kutukana, mtu hawezi kupoteza muda wake kutoa maarifa halafu aambulie matusi, hata mimi siwezi.
 
Huyu ni ndugu yangu lakini ni ovyo kabisa. Ataibuka kwenda wapi? Huyu amezungukwa na utelezi kila kona, kila atakapojaribu kusimama ataanguka tu! Tena alipoteza nafasi muhimu sana. Mwinyi alimpa kila nafasi ili a-prove kwamba ana weza akashindwa, yeye apumzike tu. Ila nakubaliana naye sana kuhusu maoni yake kuhusu comments za warioba. Walichofanya akina Mwakyembe ndicho alichofanya Warioba kwenye kamati yake, alikuwa hana moral authority ya ku-criticise kamati ya Mwakyembe pamoja na mapungufu ya wazi yaliyopo.
Haya kamzike ndugu yako,nawewe mama kakuonyesha mlango
 
I see uko sawa kabisa mkuu.

Huo ni mpango wa maksudi, I see CCM kwa mbinu hizi CCM wako vizuri, ndio maana saa hizi hata ukimuita Kitila hapo hawezi kuja kuchangia, anajua kuna wapuuzi tu wataanza kutukana, mtu hawezi kupoteza muda wake kutoa maarifa halafu aambulie matusi, hata mimi siwezi.

..toa elimu kwa kadiri unavyoweza.

..hicho ni kikundi kidogo cha CCM ambao wanataka jamii ikwame ktk lindi la ujinga.

..ukikimbia jukwaa kwa kuogopa matusi yao, unakuwa umewapa ushindi, na kuiumiza jamii ambayo ingefaidika na mchango wako.

..namna bora ya ku-deal nao ni kutokujibu matusi yao. Na unapochangia usiwalenge wao, bali lenga wanaohitaji elimu, busara, na maarifa yako.
 
..toa elimu kwa kadiri unavyoweza.

..hicho ni kikundi kidogo cha CCM ambao wanataka jamii ikwame ktk lindi la ujinga.

..ukikimbia jukwaa kwa kuogopa matusi yao, unakuwa umewapa ushindi, na kuiumiza jamii ambayo ingefaidika na mchango wako.

..namna bora ya ku-deal nao ni kutokujibu matusi yao. Na unapochangia usiwalenge wao, bali lenga wanaohitaji elimu, busara, na maarifa yako.
Asante mkuu.
 
JF kama hii haiwezi kurejea kamwe!

Sababu ni ile uliyosema siku ile. Kipindi hili jukwaa la JF linaanzishwa ni watu wachache tu waliokuwa na access ya internet, kwa maana hiyo walikuwa ni wale tu waliofanikiwa kusoma hadi level ya juu kielimu ama wenye nyadhifa au wenye uwezo kiuchumi au watanzania walioko nchi za nje... Ndio maana wachangiaji ndio hawa akina Kitila Mkumbo, akina Prof Mkandara, akina Zitto na wengineo..

Kwa hiyo watu walikuwa wanajadili mambo kwa upeo wa juu mno kiasi kwamba watu muhimu na viongozi wa serikali walikuwa wanakuja kuchota maarifa na taarifa kutoka huku.

Kipindi fulani Facebook iliposhika chati members wengi wa facebook walikuwa wanaogopa kuja JF wakidai kwamba JF wanajidai ni wasomi.

Lakini sasa hawaogopi tena wameivamia kama nzige, ndio maana tunashuhudia topics za ajabu ajabu zisizokuwa na vichwa wala miguu, kiuno wala mgongo, tumbo hata kiwiliwili!!

Sasa kila mtu ana miliki simu yenye uwezo wa internet, shambaboy wangu na housegirl ni members wa JF, sitegemei hoja za msingi kutoka kwao, nataka niwadukue nijue wanatumia usernames gani..
We call it "the good old days have gone"!

Hilo la access to the internet umenikumbusha miaka ya mwanzo kabisa internet ndo inaingia Bongo!! Sie ambao tulikuwa kinda addicted, unakuta mida ya mchana ni full online interaction kupitia DarHotWire manake hata hizi FB zilikuwa bado!

Sasa tatizo ilikuwa ikifika saa 11 jioni!! Unakuta chatroom ambayo ilikuwa very busy kutwa mzima, ghafla tu unajikuta umebaki peke yako online kwa sababu wote uliokuwa una-interact nao walikuwa wanatumia net za office, na maofisi ndo yashafungwa! Kwahiyo hapo ni night session inayokutanisha diasporas!

Hivi sasa?! OH LORD... ndo maana nimecheka uliposema kuhusu Shamba Boy, coz it's YES, nae ana internet access! Na usishangae ukakuta unae humu JF 😂😂!! Back in the days niligundua mdogo wangu yupo JF wakati yupo Form II!

Sasa hawa ndo wachangiaji wetu wenyewe!!! Kwahiyo kama usemavyo, ni ngumu sana kurudi zile zama!!
 
Aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na ambaye aliwahi kukabiliwa na kesi ya rushwa Bw. Nalaila Kiula ameibuka leo na kumshangaa Waziri Mstaafu Bw. Joseph Warioba kwa kitendo cha ukosoaji wake wa kamati Teule ya Dr. Harrison Mwakyembe.

mambo mbalimbali yanayohusiana na matukio ya kisiasa nchini. Bw. Kiula amemshangaa aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Joseph Sinde Warioba kwa kitendo chake cha kushangaa kwanini kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Dr. Harrison Mwakyembe hakumuita Waziri Mkuu aliyejiuzulu Bw. Lowassa kufuatia suala la Richmond.

Bw. Kiula amesema kuwa Warioba siyo mtu wa kuzungumzia suala la "natural justice" kwani ni yeye katika wakati wake aliyeongoza tuhuma za rushwa dhidi ya Kiula na hakuna wakati wowote ambapo yeye Warioba alimuita Kiula kumuuliza juu ya tuhuma mbalimbali (zilizotajwa kwenye ripoti ya Warioba) na hatimaye kumuacha apoteze nafasi yake na hatimaye kukabiliana na mashtaka ya kihalifu ambayo baadaye alikutwa na hatia. Hata hivyo Bw. Kiula hatimaye aliweza kushinda rufaa yake.

Bw. Kiula alizungumzia pia juu ya utawala wa Rais Mkapa na katika hilo anakubaliana na baadhi ya viongozi wengine wa zamani wanaotaka Rais Mkapa achunguzwe kutokana na matumizi ya nafasi yake kujitajirisha.

stay tuned...
Kumbe ilikuwa ni ugomvi binafsi
 
Wana siasa wengi ni ma-opportunists na siku zote wanapenda wawe kwenye ulaji na hivyo inapotokea ulaji wa mmoja ukatiwa mchanga basi hapo ndipo utakapoona jinsi wanavyojua kuongea na kujitetea ama kutetea maslahi yao.

Warioba ana mengi ya kutuambia kuhusu ile miradi ambayo inasemekana ni ya CCM - Mwananchi Gold Mine na Meremeta. Zile hela za BoT zilienda wapi na zilifanyiwa nini kwenye hiyo miradi maana na yeye ni mmoja wa wahusika. Anajifanya ni kamanda wa kupiga vita rushwa na kumbe na yeye ni kinara wa ufisadi. Jamaa alikurupuka haraka haraka hata bila kujiandaa kutetea ile orodha ya aibu ya Mzee Slaa. Alifanya hivyo akijua wazi kwamba zile tuhuma zilikuwa na ukweli kwa 100% na ndiyo maana wenye akili zao timamu walishauri watu wasiende mahakamani.

Mzee Kiula naye ana msalaba wake wa ufisadi aliofanya pale Wizara ya Ujenzi. Kama kupona amepona kwa bahati sana, tatizo ni kwamba rushwa kubwa huwa hazina ushahidi wa kutosha kumtia mtu hatiani labda itumike sheria ya uhujumu uchumi.

Lakini pamoja na makosa yao yote, bado pale wanapoongea yale ambayo yana make sense tunahitaji kuwapa credit na wakitoa pumba tutawazomea. Mzee Warioba alipofuka mvuka wakati wa list ya Slaa tulimpa kavu kavu hapa hapa JF kwa kuwa ndumila kuwili. Mzee Kiula nae anahitaji kupewa credit yake kwa kutoa hoja nzuri na yenye mantiki.

Hizo ndiyo siasa za Bongo, maslahi mbele na lawama nyuma!
Du uzi wa kitambo sn
 
Back
Top Bottom