Wadau,
Naombeni mdondoshe ngoma kali kutoka Naija ambazo upigwa mara kwa mara clubs na maeneo mengine ya starehe.
Kuwa free kutiririka, mimi naanza na Skelewu by Davido.
Wadau,
Naombeni mdondoshe ngoma kali kutoka Naija ambazo upigwa mara kwa mara clubs na maeneo mengine ya starehe.
Kuwa free kutiririka, mimi naanza na Skelewu by Davido.
Buku 7 umeona hailipi!!!
Kwi kwi kwi kwi ni aje weye!!!? umeamua kuuvua ubuku 7!? Hahahahahaahahahaha lol!!!
Naota au!!!!!????
Chama chetu cha mapinduzi eeh chajenga nchi- by john kombaWadau,
Naombeni mdondoshe ngoma kali kutoka Naija ambazo upigwa mara kwa mara clubs na maeneo mengine ya starehe.
Kuwa free kutiririka, mimi naanza na Skelewu by Davido.
Bora Hamy D uje huku tusuuze roho Siasa za kibongo full stress full kuviziana unataka Naija hits latest au hata za zamani ka za kina 2 face
Sikonge,
Asante mkuu. Ila ningeomba unitupie moja hivi ambayo kwa sasa ina hit sana maeneo ya batani...ni ya huko huko naija na pia inaenda hivi kwenye chorus... am not so sure, nina ninali........hayah hayah..hayah yaya yaya yaya...
BAK,
Nitakipigania chama changu daima kwa kuwa naamini kuwa CCM ndio chama pekee chenye ajenda ya wazi ya kumkomboa Mtanzania na kumpatia maendeleo.
Ila kwa sasa tutete kuhusu burudani halafu baadae tukutane kule kwenye jamvi letu la mabishano.