lukinga01
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 414
- 381
Wakubwa zangu habari za Siku na poleni na majukumu ya kila siku.
Nisiwasumbue sana ndg zangu naihitaji gari ya Toyota hillux double cabin yenye 4whl namaanisha used hapa bongo. Kuna pori nataka Nile nayo msoto.
VP wakuu wangu naweza pata kwa 4ml au 5ml? Ningependa sana I we damu ya mzee. Mnisamehe sana kama nitawakwaza wakubwa.
Nisiwasumbue sana ndg zangu naihitaji gari ya Toyota hillux double cabin yenye 4whl namaanisha used hapa bongo. Kuna pori nataka Nile nayo msoto.
VP wakuu wangu naweza pata kwa 4ml au 5ml? Ningependa sana I we damu ya mzee. Mnisamehe sana kama nitawakwaza wakubwa.