Washauri wenzako huko chamani watende haki. Basi.shida sio msaada ila unaendekeza sana siasa! kila kitu unakichukulia personal, Mtaji wa siasa na media ni uoga, wanapenda watu kma nyie ambao mkiepewa headlines zenye herufi kubwa sana mnapanic
Nikupe mfano:
View attachment 1861594
- Hutakaa uskie media inasema watu mil 175 wamepona corona ila hao Mil 4 watatengenezewa headlines mpaka ukome
-- Pia uchumi sio mbaya kama unavoaminishwa, hakuna sku kutakua hakuna mzunguko wa ela kwa sababu wanaochapisha pesa ndo hao hao wanachukua kodi, hii ni mifano michache ila usiendekeze siasa sana na media shirikisha akili pia, hata hao unaowaona nafuu wakina mbowe wote ni ccm, wakina lissu wote! Nani alisifiwa chadema kama halima mdee? yupo wap saaahv?
- kuna wengine hawa apa
View attachment 1861599
Ushauri wangu kwako ni
1) Fanya kazi, jali zaidi uzao wako pamoja na familia yako
2) Hakikisha unaweka mazingira mazuri kwa watoto wako, kama ni shule kama ni ubunifu wajengee uwezo wa kipekee
3) Kama una watoto unatoa wap mda wa siasa?
5) Umiza kichwa katika mambo yenye manufaa mfano kujaribu biashara tafauti, kushirikiana na watu katika miradi na mawazo mapya
6) Epuka wimbi la motisha kwenye siasa haswa wanaotumia jina la vijana
7) Hakikisha akaunti yako pia imenona hayo mengine ni yale yale kutengeneza tataizo alafu kulitatua mwenyewe