Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara: Tukishakubaliana kufanyia kazi jambo fulani kwenye Wizara, kama hujalikamilisha tutatafutana ubaya

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_0062.JPG


Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Mwikabi akiongea na TBC Live leo asubuhi, amesrma kuwa hakuamini kama yeye angeteuliwa na a Rais Dk. John a Pombe Magufuli kuwa Naibu Waziri serikalini. Amesema amekuwa na historia ya uongozi katika maisha yake kuanzia shule za msingi hadi vyuo vikuu.
Alisema amekuwa Kiongozi nafasi zote katika Elimu ya Msingi; Kiongozi katika nafasi zote za elimu ya sekondari; na Kiongozi pia katika Chuo Kikuu.

Amesema amejiandaa kutekeleza wajibu wake wa kuwahudumia wananchi.

Alisema sifa Kuu ya Kiongozi ni kufanya maamuzi. Hivyo atajitahidi kushirikiana na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yake. Alisema kwenye Wizara, tukishakubaliana kufanyia kazi jambo fulani, kama hujalikamilisha hadi deadline, basi tutatafutana ubaya.

Mwita alisema kuwa yeye siye mkali wala mbabe bali huwa anatumia akili katika kufanya maamuzi. Alisema yeye hapendi mzaha ndio maana wakati mwingine anaonekana ni mkali. Hivyo, alikanusha na kudai kuwa yeye siye mbabe.
Aliongezea juu ya umuhimu wa kutekeleza yote wanayokubaliana ikiwa ni pamoja na kutoa feedback.
 
Naibu Waziri ameongelea pia jinsi alivyoamua kuachana na Upinzani na kujiunga na CCM.

Amesema katika maisha lazima uwe na upande: "If you can't fight them, join them."
Amesema alikuwa akifanya kazi Upinzani lakini baadaye aliona kuna maisha ya maigizo ndani ya Upinzani, hivyo akaona yuko mahali ambapo si right place.

Hiyo ilitokana na ukweli kuwa, wakati John Pombe Magufuli akina Waziri wa Ujenzi alipendwa sana na Upinzani akionekana kuwa Kiongozi shupavu hasa alivyosimamia sheria. Hata alipohamishiwa Wizara ya Kitoweo (Uvuvi) alifanya vizuri na kusifiwa sana. "Sasa leo amekuwa Rais, amekuaje mbaya wakati ndiye yuleyule?

Alidai kuwa, walipokuwa Morogoro aliwashauri Wapinzani wenzake waanze kubadilisha aina ya siasa kuwa na aina mpya ya ku-deal na utawala wa Rais Magufuli lakini wenzake walikataa, hivyo akaona hana anachofanya huko, hivyo akaamua kuanza kushirikiana na Viongozi serikalini.
 
Naibu Waziri ameongelea pia jinsi alivyoamua kuachana na Upinzani na kujiunga na CCM.

Amesema katika maisha lazima uwe na upande: "If you can't fight them, join them."
Amesema alikuwa akifanya kazi Upinzani lakini baadaye aliona kuna maisha ya maigizo ndani ya Upinzani, hivyo akaona yuko mahali ambapo si right place.

Hiyo ilitokana na ukweli kuwa, wakati John Pombe Magufuli akina Waziri wa Ujenzi alipendwa sana na Upinzani akionekana kuwa Kiongozi shupavu hasa alivyosimamia sheria. Hata alipohamishiwa Wizara ya Kitoweo (Uvuvi) alifanya vizuri na kusifiwa sana. "Sasa leo amekuwa Rais, amekuaje mbaya wakati ndiye yuleyule?

Alidai kuwa, walipokuwa Morogoro aliwashauri Wapinzani wenzake waanze kubadilisha aina ya siasa kuwa na aina mpya ya ku-deal na utawala wa Rais Magufuli lakini wenzake walikataa, hivyo akaona hana anachofanya huko, hivyo akaamua kuanza kushirikiana na Viongozi serikalini.
Lugha hiyo ni ya kawaida sana, husemwa na karibu wote walopata uteuzi, mara baada ya kuteuliwa. Mambo huja wakati wa kutenda, twasubiri man.
 
Lugha hiyo ni ya kawaida sana, husemwa na karibu wote walopata uteuzi, mara baada ya kuteuliwa. Mambo huja wakati wa kutenda, twasubiri man.
Yes, unasema kweli wanasiasa wengi wakiwemo dhaifu hupenda kutumia lugha ya kibabe ili waonekane kweli ni watu strong kumbe dhaifu tu. Hata hivyo kwa anayewafahamu Wakurya, hasa huyu Mwita atakiri wazi kuwa, atakuwa a no-nonsense leader.

Kumbuka wakati Magufuli anapiga kampeni mwaka 2015, alikuwa akitangaza kuleta mabadiliko ndani ya CCM lakini hakuna mtu aliyekuwa akiamini kuwa ataleta mabadiliko ya aina ambayo watu wengi walitaka. In fact hakuna aliyedhani Angelita mabadiliko kulinganisha na Mabadiliko yaliyokuwa yakitangazwa na Lowassa.
Hata hivyo, ndani ya mwezi mmoja tu tangu aapishwe, Watanzania wengi walianza kujuta kwa kutompa kura Rais Magufuli kutokana na mabadiliko ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo tena akiwa na Waziri Mkuu pekee: utumbuaji majipu, kubana matumizi, kubana mianya ya rushwa, uwajibikaji maofisini, elimu bure, etc. etc.
So, Waitara ana dalili zote za kuwa mtu wa kazi, provided atayafahamu mapema majukumu yake.
 
Yes, unasema kweli wanasiasa wengi wakiwemo dhaifu hupenda kutumia lugha ya kibabe ili waonekane kweli ni watu strong kumbe dhaifu tu. Hata hivyo kwa anayewafahamu Wakurya, hasa huyu Mwita atakiri wazi kuwa, atakuwa a no-nonsense leader.

Kumbuka wakati Magufuli anapiga kampeni mwaka 2015, alikuwa akitangaza kuleta mabadiliko ndani ya CCM lakini hakuna mtu aliyekuwa akiamini kuwa ataleta mabadiliko ya aina ambayo watu wengi walitaka. In fact hakuna aliyedhani Angelita mabadiliko kulinganisha na Mabadiliko yaliyokuwa yakitangazwa na Lowassa.
Hata hivyo, ndani ya mwezi mmoja tu tangu aapishwe, Watanzania wengi walianza kujuta kwa kutompa kura Rais Magufuli kutokana na mabadiliko ya kasi ya utendaji kazi aliyoanza nayo tena akiwa na Waziri Mkuu pekee: utumbuaji majipu, kubana matumizi, kubana mianya ya rushwa, uwajibikaji maofisini, elimu bure, etc. etc.
So, Waitara ana dalili zote za kuwa mtu wa kazi, provided atayafahamu mapema majukumu yake.
Mimi pia nimemsikiliza TBC. Tuliomfahamu Waitara kabla hata hajawa Mbunge, twasubiri KWANZA kuiona huo utendaji wake. Wewe mpambe utakavyo, LAKINI saa yaja ambayo atatakiwa aanze kudeliver. Ninakushauri uwe mtulivu na mwenye subra. Amen
 
Mimi pia nimemsikiliza TBC. Tuliomfahamu Waitara kabla hata hajawa Mbunge, twasubiri KWANZA kuiona huo utendaji wake. Wewe mpambe utakavyo, LAKINI saa yaja ambayo atatakiwa aanze kudeliver. Ninakushauri uwe mtulivu na mwenye subra. Amen
Ushauri mzuri mzee, ngoja tusubiri tuone.
 
Back
Top Bottom