Amesimamisha zoezi la utoaji uraia(baadhi walishapatiwa) ili kupata maoni ya wanaodaiwa kuwa wadau ambao inatamkwa kuwa hawakushirikishwa ktk mchakato huo.Hata hvyo kama wewe ni mmoja wao au jamaa yako yumo,usiwe na hofu kabisa.Makambi yote ya wakimbizi yalishafungwa(mwezi wa nane tumefunga kambi ya mwisho) na kwa mjibu wa mapatano ya TZ na UNHCR,tanzania hakuna mkimbizi tena.Wakimbizi waliochaguwa kubaki tz( 162,000) ni lazima watambuliwe kama jamii ya tz lkn utaratibu wa kuwatambua ndio bado unajadiliwa upya.Leo kuna kikao cha wawakilishi wao(vijana wasomi),ujumbe wa wizara na mwakilishi wa UNHCR.Nikirudi ofsini after a week ninaweza kukuhabarisha kama maamuzi yao hayatakuwa confidential!
Kambi ya mtabila itafungwa mwishoni mwa mwaka huu na ya Nyarugusu bado haijafungwa. Kambi ipi ya mwisho iliyofungwa?
Mwezi wa nane ulikuwa mwezi wa mwisho kutambua uwepo wa kambi ya Nyarugusu.Kama bado kuna wakimbizi hawajaondolewa ni matokeo ya udhaifu ktk utaratibu wa kuwasafirisha.
Amesimamisha zoezi la utoaji uraia(baadhi walishapatiwa) ili kupata maoni ya wanaodaiwa kuwa wadau ambao inatamkwa kuwa hawakushirikishwa ktk mchakato huo.Hata hvyo kama wewe ni mmoja wao au jamaa yako yumo,usiwe na hofu kabisa.Makambi yote ya wakimbizi yalishafungwa(mwezi wa nane tumefunga kambi ya mwisho) na kwa mjibu wa mapatano ya TZ na UNHCR,tanzania hakuna mkimbizi tena.Wakimbizi waliochaguwa kubaki tz( 162,000) ni lazima watambuliwe kama jamii ya tz lkn utaratibu wa kuwatambua ndio bado unajadiliwa upya.Leo kuna kikao cha wawakilishi wao(vijana wasomi),ujumbe wa wizara na mwakilishi wa UNHCR.Nikirudi ofsini after a week ninaweza kukuhabarisha kama maamuzi yao hayatakuwa confidential!
Mwezi wa nane ulikuwa mwezi wa mwisho kutambua uwepo wa kambi ya Nyarugusu.Kama bado kuna wakimbizi hawajaondolewa ni matokeo ya udhaifu ktk utaratibu wa kuwasafirisha.
Amesimamisha zoezi la utoaji uraia(baadhi walishapatiwa) ili kupata maoni ya wanaodaiwa kuwa wadau ambao inatamkwa kuwa hawakushirikishwa ktk mchakato huo.Hata hvyo kama wewe ni mmoja wao au jamaa yako yumo,usiwe na hofu kabisa.Makambi yote ya wakimbizi yalishafungwa(mwezi wa nane tumefunga kambi ya mwisho) na kwa mjibu wa mapatano ya TZ na UNHCR,tanzania hakuna mkimbizi tena.Wakimbizi waliochaguwa kubaki tz( 162,000) ni lazima watambuliwe kama jamii ya tz lkn utaratibu wa kuwatambua ndio bado unajadiliwa upya.Leo kuna kikao cha wawakilishi wao(vijana wasomi),ujumbe wa wizara na mwakilishi wa UNHCR.Nikirudi ofsini after a week ninaweza kukuhabarisha kama maamuzi yao hayatakuwa confidential!
Nyarugusu na Mtabila zote waliongeza muda.Mtabila sasa ni official mwisho mwezi wa 12.Nyarugusu Bado kwani wengi wanatoka East Kongo na huko bado kuna mcharuko.Mwezi wa nane ulikuwa mwezi wa mwisho kutambua uwepo wa kambi ya Nyarugusu.Kama bado kuna wakimbizi hawajaondolewa ni matokeo ya udhaifu ktk utaratibu wa kuwasafirisha.
You are damn right!Mkuu uko ofisi gani wewe?
Nakubaliana na wewe kuhusu kutoa uraia lakini sikubaliani na wewe kuhusu kufungwa makambi kwamba mwezi wa nane mmefunga kambi ya mwisho. Siyo kweli mkuu! Kambi iliyofungwa ni ile ya Warundi (Mtabila) lakini bado tuna kambi moja ilyobaki ambayo ina wakimbizi zaidi ya 60,000 (Nyarugusu) ambayo inahifadhi wakimbizi wa kutoka Congo. Hivyo kwa wale wa Mtabila ambao wameonekana sababu zao ni za msingi kuendelea na ukimbizi (hii inatokana na mambo ya usalama) watahamishiwa Nyarugusu, hayo ndo makubaliano yaliyopo kwenye Tripartite Commision (Burundi, Tanzania na UNHCR).
Kwa wale 162,000 siyo rahisi kuwafutia uraia maana yalikuwa makubaliano ya hayo makundi matatu. Hapo wakuu tulishaumia lazima tukubali kwamba imeshakula kwetu!