Unaweza kulala waziri akiwa zabron' ukiamka waziri anaitwa msabaha wizara ileile.Nakumbuka zamani tulikuwa tunaweza kuorodhesha majina ya mawaziri wote bila kusita, hawa wa siku hizi nawajua wachache sana. Wengine kama huyu hata sikuwahi kuwasikia, ndiyo kwanza Leo.
Asante mdau Kwa kutujuza
Anafanana na mke wa marhumYuko vzr, ngozi asili hajajichezea
Ana mguu fulani
Ova
Mkuu angalia huko buza kwa mpalange kulivyoshona...Why umemleta?
Umeona nini cha ajabu?
🤔🤔Nilikuja kwa kasi nikadhani tayarii.
Katumbuliwa.