Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Naibu waziri wa habari na michezo leo kanitolea mpya pale aliposema "Vyama vinavyoshiriki premier ligue vianzishe viwanja vyao vya mpira" akitolea mfano timu za Mtibwa, Azam na Yanga. Halafu pale kwenye madaraja ya viwanja mi sikuelewa kabisa. Kuna viwanja vikubwa kama Ccm Kirumba kaupa daraja la tatu wakati Chamazi kauweka katika kundi la viwanja vya daraja la kwanza pamoja na Uwanja wa Taifa na Uhuru. Hawa mawaziri wa JK hawa!