Wadau,
Nimemsikiliza naibu waziri wa elimu katika kipindi cha ITV cha DK. 45. Katika kuipa sifa zisizostahili serikali ya CCM amejikuta akiudanganya umma wa watanzania kuwa kabla ya kuanzishwa shule za sekondari za kata mwaka 2006 (za akina lowassa) mkoa wa Mbeya ulikuwa na shule tatu (yaani Rungwe, Loleza na Iyunga).
Ukweli:
Shule zilizokuwepo ni Rungwe, Loleza, Iyunga, Mbeya Day, Vwawa Day, Mwakaleli, Ileje Day,Chunya Day, Kyela Day.....
mdau mwingine aweza kuongeza ama kurekebisha orodha.
Kama naibu waziri wa elimu hajui takwimu za shule, anafanya nini hapo wizarani?
Naomba kuwasilisha kwa ajili ya kujadili.
Nimemsikiliza naibu waziri wa elimu katika kipindi cha ITV cha DK. 45. Katika kuipa sifa zisizostahili serikali ya CCM amejikuta akiudanganya umma wa watanzania kuwa kabla ya kuanzishwa shule za sekondari za kata mwaka 2006 (za akina lowassa) mkoa wa Mbeya ulikuwa na shule tatu (yaani Rungwe, Loleza na Iyunga).
Ukweli:
Shule zilizokuwepo ni Rungwe, Loleza, Iyunga, Mbeya Day, Vwawa Day, Mwakaleli, Ileje Day,Chunya Day, Kyela Day.....
mdau mwingine aweza kuongeza ama kurekebisha orodha.
Kama naibu waziri wa elimu hajui takwimu za shule, anafanya nini hapo wizarani?
Naomba kuwasilisha kwa ajili ya kujadili.