Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,802
- 11,961
DKT FAUSTINE NDUGULILE ATENGULIWA
Rais John Pombe Magufuli amemtengua Dr Faustine Ndugulile Naibu Waziri Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Mbunge wa Kigamboni.
Nafasi hiyo imechukuliwa na Dkt Godwin Mollel, Mbunge wa Siha, aliyeteuliwa Mei 16 kushika nafasi ya Dkt Ndugulile
Uteuzi wa Dkt Mollel unaanza Mei 16, 2020
Faustine aliteuliwa 07 Oktoba 2017 akichukua nafasi ya Khamis Kigwangala aliyeenda kuwa Waziri wa Utalii
Tarehe 14 Des 2017, Mbunge wa Jimbo la Siha, Dk. Godwin Mollel alihama chama cha CHADEMA na kujiunga CCM.
Zaidi, soma
1). Tumwamini nani kati ya Rais Magufuli au Daktari Ndugulile kuhusu kujifukiza ili kukabiliana na COVID-19? - JamiiForums
2). Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya - JamiiForums
Maoni ya Ndugulile kuhusiana na ugonjwa wa Corona:
Mchango wa Mollel bungeni:
Rais John Pombe Magufuli amemtengua Dr Faustine Ndugulile Naibu Waziri Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Mbunge wa Kigamboni.
Nafasi hiyo imechukuliwa na Dkt Godwin Mollel, Mbunge wa Siha, aliyeteuliwa Mei 16 kushika nafasi ya Dkt Ndugulile
Uteuzi wa Dkt Mollel unaanza Mei 16, 2020
Faustine aliteuliwa 07 Oktoba 2017 akichukua nafasi ya Khamis Kigwangala aliyeenda kuwa Waziri wa Utalii
Tarehe 14 Des 2017, Mbunge wa Jimbo la Siha, Dk. Godwin Mollel alihama chama cha CHADEMA na kujiunga CCM.
Zaidi, soma
1). Tumwamini nani kati ya Rais Magufuli au Daktari Ndugulile kuhusu kujifukiza ili kukabiliana na COVID-19? - JamiiForums
2). Hongera Dkt. Faustine Ndugulile, Naibu Waziri wa Afya - JamiiForums
Dr Faustine Ndugulile said:"Nimepokea uamuzi wa Rais kwa unyenyekevu mkubwa. Ninamshukuru kwa kunipa fursa ya kuhudumu ktk Serikali yake. Nawashukuru sana @umwalimu na watendaji wote kwa ushirikiano walionipatia.
Mafanikio ya sekta ni makubwa sana. Namtakia kila la kheri NW ajaye Dkt Mollel"
Maoni ya Ndugulile kuhusiana na ugonjwa wa Corona:
Mchango wa Mollel bungeni: