Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel abaini wizi wa dawa za Tsh Milioni 9 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa

Wizara ya Afya Tanzania

Official Account
Oct 1, 2020
58
124


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amebaini wizi wa dawa unaofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa ambapo katika ushahidi alionao amesema kuwa Idara ya Famisia imehusika katika upotevu wa dawa za thamani ya Tsh Milioni 9.

Dkt. Mollel amesema hayo katika kikao kazi na watumishi wa hospitali hiyo ambapo alimwita Mfamasia wa Hospitali hiyo pamoja na Mganga Mfawidhi kuhakiki taarifa hizo alizonazo na wote kukiri kuwa ni kweli.
 

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amebaini wizi wa dawa unaofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa ambapo katika ushahidi alionao amesema kuwa Idara ya Famisia imehusika katika upotevu wa dawa za thamani ya Tsh Milioni 9.

Dkt. Mollel amesema hayo katika kikao kazi na watumishi wa hospitali hiyo ambapo alimwita Mfamasia wa Hospitali hiyo pamoja na Mganga Mfawidhi kuhakiki taarifa hizo alizonazo na wote kukiri kuwa ni kweli.
Yani mnakimbizana na tumilioni tisa wakati kuna watu wamekwapua 1.5 T na mko kimyaa!
 
Back
Top Bottom