Naibu Waziri wa Afya, Dk. Faustine Ndugulile akemea udhalilishaji watoto zoezi la RC Makonda

Kwa usemi wako ninadhani kurudisha work ethics was the fundamental factor kuliko naibu rais ooh sorry mkuu wa mkoa kujitwisha jukumu hili.
Hahaa Naibu Rais!

Binadamu hamna jema.

Wezi wakitamalaki kunakuwa na lawama "kwa nini hawadhibitiwi."

Nikijitokeza kaka yako kuwakamata hawa wezi unanilaumu eti kwa nini nisingewaachia POLISI wafanye hivyo?

Haya bwana.
 
Hahaa Naibu Rais!

Binadamu hamna jema.

Wezi wakitamalaki kunakuwa na lawama "kwa nini hawadhibitiwi."

Nikijitokeza kaka yako kuwakamata hawa wezi unanilaumu eti kwa nini nisingewaachia POLISI wafanye hivyo?

Haya bwana.
Because this is a temporary effort kila mtu angefanya kazi yake inavyostahili tusingefika hapa.
 
~~~>>>Jamaa naona kaingia nusu .. Hata kumvaa Makonda mzima mzima ..

Bado ana kumbu kumbu ya Nape
 
Because this is a temporary effort kila mtu angefanya kazi yake inavyostahili tusingefika hapa.
No argument there Sis.

Hivi ungetaka Magufuli afanye business as usual kusubiri vyombo husika kudhibiti:
Ufisadi
Rushwa
Watumishi hewa
Wizi TRA
Vyeti feki
Wizi bandarini
Civil service ethics (nidhamu maofisini)
Kupunguza matumizi
Madawa ya kulevya
Etc?

Na hii ni orodha ndogo tu.

Dada tukubali. Hii nchi ilikuwa imeoza. Nitakaribisha mbinu zozote extraordinary zitakazotunyoosha.

Of course ninakuelewa unapotokea.
ZERO-SUM-GAME -
Wanachofanikiwa CCM ni hasara kwa UPINZANI.

It shouldn't be that way, should it?
 
Naibu waziri kama kiongozi msomi alipaswa kukaa kimya aone mwsho wa hii safari ya matumaini.
Kukaa kimya hapana, lazima watu waseme na yeye ni mmoja wao hata kama ni waziri. Yaani watoto wanaanikwa na kudhalilishwa halafu unataka liendelee hadi mwisho wakati hili ni zoezi endelevu! Hapana mifumo ipo itumike kushughulikia matatizo ya kijamii. Namna hii ya uendeshaji wa nchi is not sustainable. We need to strengnthen our institutions (Ustawi wa jamii, paraligal associations, police and et cetera!
 
Kukaa kimya hapana, lazima watu waseme na yeye ni mmoja wao hata kama ni waziri. Yaani watoto wanaanikwa na kudhalilishwa halafu unataka liendelee hadi mwisho wakati hili ni zoezi endelevu! Hapana mifumo ipo itumike kushughulikia matatizo ya kijamii. Namna hii ya uendeshaji wa nchi is not sustainable. We need to strengnthen our institutions (Ustawi wa jamii, paraligal associations, police and et cetera!
Sawa
 
Hamisha Bashite akawe mkuu wa mkoa Katavi.
Matatizo mengi ya kiprotokali yataisha akitolewa Dar.
 
Wanawake mlioolewa na wanaume wenye low sperm count mnahitajika wizara ya Afya

Hahaha! waliolewa na mashoga. sperm zipo ila jogoo kushiney...yule Dada ana shida kama ni chakula hata kwao si kipo....Naonelea kwa ulimwengu wa sasa Viongozi wa dini waruhusu watu wazae hata mtoto 1 kwanza ndipo waruhusiwe kufunga ndoa. Sio kwa shida zile anazozipata mke wa DAB uatazania anaishi na mwanamke mwenzake. Anataman sana aondoe lakini ndiyo hivyo anaogopa kutekwa na kuchunguzwa uraia.
 
hili jambo halina jema lolote zaidi ya kudhalilisha watu. hili ni kama lile tu la madawa ya kulevya halitafika mbali.
 
Hahaha! waliolewa na mashoga. sperm zipo ila jogoo kushiney...yule Dada ana shida kama ni chakula hata kwao si kipo....Naonelea kwa ulimwengu wa sasa Viongozi wa dini waruhusu watu wazae hata mtoto 1 kwanza ndipo waruhusiwe kufunga ndoa. Sio kwa shida zile anazozipata mke wa DAB uatazania anaishi na mwanamke mwenzake. Anataman sana aondoe lakini ndiyo hivyo anaogopa kutekwa na kuchunguzwa uraia.
Raha ya mimba ukojolewe bwana si mambo ya mwanaume wamilk mbegu ndiyo upandikizwe.
 
~~~>>>Jamaa naona kaingia nusu .. Hata kumvaa Makonda mzima mzima ..

Bado ana kumbu kumbu ya Nape
Ataanza kwa kubambikizwa mtoto pale Ilala,ajue kwamba hili jambo lina baraka zote toka juu,kuharibu mjadala wa bajeti na maandamano
 
Back
Top Bottom